ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Wadau Mimi nashauri Serikali iangalie kuunda tume ya pamoja na shule za binafsi kuhusu suala la ada. Kuna shule zinapandisha ada kila kukicha yaani kila mwaka aisee na kwa kiwango kikubwa bila sababu.
Unajua ada inapanda labda kuna mazingira shule au walimu watabadilika hakuna inabaki pale pale hii serikali inabidi kumulika kwa jicho angavu
Unajua ada inapanda labda kuna mazingira shule au walimu watabadilika hakuna inabaki pale pale hii serikali inabidi kumulika kwa jicho angavu