Siki Michael
Member
- Apr 20, 2020
- 15
- 9
Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao?
Faulu sio fauruWanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao
Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao
Kwa wazazi wenye uwezo wao ilo sio swali kwao ila kwa wale wanaosubiri shule zetu pendwa ao inabidi wasubiri ila wakati serkali hii tajiri ikifanya utaratibu wa kuwaandalia nafasi wakati uo wazazi nao watafute namna ya kuwatafutia maali watakapokuwa wanasoma ili kuwalinda wasishinde mitaani.Wanafunzi waliofauru darasa la saba na hawajapangiwa shule nini hatima yao?