Habari za wakati huu wapendwa. Nina Imani mu wazima wa afya.
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, Mimi ni kijana umri miaka 25 mhitimu katika chuo kikuu Cha Dar es Salaam shahada ya Ualimu katika masomo ya Geography na Kiswahili mwaka 2020.
Nimekuwa nikijaribu kutuma maombi shule mbalimbali...