nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,117
- 1,827
Habari wanajamvi, naomba kujuzwa shule nzuri yenye nafasi ya kuhamia ya english medium iliyopo karibu na mbezi makabe.
Ninataka kuwahamishia watoto wangu wawili, darasa la nne mwakani na darasa la pili. pia mdogo wao anatarajia kuanza chekechea ya watoto. Iwe na matokeo mazuri na malezi mazuri. Shule inayomilkiwa na taasisi za kidini- wakristu zitanivutia zaidi.
Ahsante sana.
Ninataka kuwahamishia watoto wangu wawili, darasa la nne mwakani na darasa la pili. pia mdogo wao anatarajia kuanza chekechea ya watoto. Iwe na matokeo mazuri na malezi mazuri. Shule inayomilkiwa na taasisi za kidini- wakristu zitanivutia zaidi.
Ahsante sana.