Manyanza Platinum Member Joined Nov 4, 2010 Posts 20,008 Reaction score 45,721 Sep 22, 2024 #1 Duh huyu Mwamba nadhani ndio Shetani mwenyewe. Idadi ya mafuta ya vilainishi alivyokutwa navyo Picha kwa hisani ya Crown Media
Duh huyu Mwamba nadhani ndio Shetani mwenyewe. Idadi ya mafuta ya vilainishi alivyokutwa navyo Picha kwa hisani ya Crown Media
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,795 Reaction score 113,343 Sep 22, 2024 #2 Ally nsomali
Ma mbwa JF-Expert Member Joined Apr 15, 2019 Posts 1,404 Reaction score 3,505 Sep 22, 2024 #3 Hayo ni mafuta ya nini? Ya utelezi au ya kutatua?
Manyanza Platinum Member Joined Nov 4, 2010 Posts 20,008 Reaction score 45,721 Sep 22, 2024 Thread starter #4 Phdum said: Hayo ni mafuta ya nini? Ya utelezi au ya kutatua? Click to expand... Wakina Diamond na Babu Tale wanalo jibu hata Burna Boy naye anajua 🤣🤣🤣
Phdum said: Hayo ni mafuta ya nini? Ya utelezi au ya kutatua? Click to expand... Wakina Diamond na Babu Tale wanalo jibu hata Burna Boy naye anajua 🤣🤣🤣
Manyanza Platinum Member Joined Nov 4, 2010 Posts 20,008 Reaction score 45,721 Sep 22, 2024 Thread starter #5 Kwa kifupi usitamani maisha ya mtu hujui nyuma ya pazia kuna nini
R Risen man JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,988 Reaction score 54,034 Sep 22, 2024 #6 Mafuta ya watoto/mafuta ya binadam wachanga. Kuna mafuta ya alizeti, ya nazi, ya kondoo na kuna ya binadam
Mafuta ya watoto/mafuta ya binadam wachanga. Kuna mafuta ya alizeti, ya nazi, ya kondoo na kuna ya binadam
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,571 Reaction score 19,781 Sep 22, 2024 #7 Hiyo picha hapo mbona Kama imepikwa?