serikali

  1. UKWELIYAKINIFU

    JamiiForums Tanzania Msisitizo katika maendeleo kwa Serikali ya Awamu ya Tano kumeimarisha Muungano na amani Zanzibar

    Tangu kuanzishwa kwa siasa za ushindani wa vyama vingi mwaka 1992, Zanzibar hapakuwahi kuwa na utulivu wa kisiasa kwa muda mrefu sana. Kila uchaguzi mkuu ulifuatiwa na mikwaruzano na kusababisha mpasuko wa kisiasa wa muda mrefu kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kilichokuwa chama kikuu cha...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Harufu ya ufisadi stendi mpya Mbezi: Je, CHADEMA ilishindwa kuisimamia Serikali ipasavyo?

    Rais Magufuli amesema kuna harufu ya ufisadi katika ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya mikoani na nchi jirani ambapo nyongeza ya Sh bilioni 20 haielewki ina tija gani. Rais Magufuli ameahidi kulichunguza suala hilo na kuchukua hatua stahiki. Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam...
  3. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Nini mantiki ya Dkt. Magufuli kuikumbatia sera ya ubaguzi wa kimaendeleo?

    "Mimi niwaambieni ukweli, nimechoka kuwabembeleza ,mkiniletea madiwani na wabunge wa kutoka upande mwingine(wapinzani), siwaletei maji na huu ndiyo ukweli sipendi kuwaficha, nimechoka kuwabembeleza" Magufuli (1/Oktoba/2020, Tunduma) Hisia za ubaguzi wa kimaendeleo zilianza mara tu Rais...
  4. hp4510

    JamiiForums Tanzania Ni ombi tu kwa Serikali, kwenye dhifa za kitaifa Azam wawe warushaji wa tukio

    Salaaam TBC wanatuangusha Sana kwenye kufanya live coverage Naangalia dhifa ya kitaifa live kutoka Ikulu, Yan dah aisee ni full makelele Ni bora wangeacha bila kutafsiri coz hatusikii maneno ya Rais wa Malawi wala maneno ya translator I think Azam wako vizuri sana kwenye hizi mambo
  5. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Ubungo Interchange ni ushahidi kwamba bado Serikali ya CCM haifanyi kazi kwa ufanisi

    Habari za wakati huu; Nimeandika uzi huu ili kumpa jibu la herufi kubwa kaka yangu mheshimiwa wakili msomi Paskali ambaye pia alikuwa Mtia nia Ubunge Jimbo la Kawe. Kwanza kabisa nimesikitishwa kwa msomi kama yeye kutuambia kwamba TUMPE KURA MAGUFULI KAMA SHUKRANI. Amenikera na kuniudhi sana...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Serikali upande wa elimu irasimishe vituo vya watoto chekechea kufundisha hadi darasa la 3 ndipo wajiunge na shule za msingi kuendelea darasa la 4

    Serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi; Naomba ifikilie kurasimisha vituo vya watoto chekechea viwe (basic schools). Ambapo Watoto watafundishwa kwa miaka mitatu katika vituo hivyo vya chekechea kwa maana ya baby class mwaka mmoja, middle class mwaka wa pili na top class mwaka...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

    Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei? Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Hivi bunge kama taasisi hawana vitega uchumi vinavyoliingizia mapato au linaitegemea serikali kwa 100%?

    Nauliza tu maana inafahamika kwamba Bunge ni taasisi huru inayojitegemea. Je, bunge letu la Dodoma lina vitega uchumi? Je, bunge letu lina miradi yoyote ya huduma za kijamii hata kama ni kakituo ka afya tu? Majibu Tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
  9. funaku

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ni nini na Serikali ya Magufuli imefanyia kazi components zipi za maendeleo?

    Katika kipindi hiki cha maamuzi na uwekwaji wa mustakabali wa Taifa ni muhimu tukarudi kwenye chambuzi na definitions mbalimbali zinazoelezea maana mtambuka (complex) ya maendeleo. maendeleo ni nini...? Itoshe kusema maendeleo ni jumuiko la mambo kadhaa endelevu yawe ya zamani au hata mapya...
  10. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Kwanini mwaka ya Serikali (Julai - Juni) unatofautiana kwa mbali na mwaka wa kawaida wa kwenye kalenda (Januari - Desemba)? What's the logic behind?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Kwanini mwaka ya serikali (July - June) unatofautiana sana na mwaka wa kawaida wa kwenye kalenda (January - December)? What's the logic behind? Kwanini bajeti ya serikali sio ya kuanzia January mpaka December 2020...
  11. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba: Nitakuwa rais Msikivu, nitaunda Serikali ya Ummoja wa Kitaifa

    NITAKUWA RAIS MSIKIVU NA NITAUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA " PROF.LIPUMBA" MAGU , MWANZA Nchi yetu imejaa ufisadi, ubinafsi, migawanyiko, kuumizana, ubaguzi, kutokuaminiana, chuki, kukata tamaa na huzuni. Haya ni majeraha yanayohitaji kutibiwa na kuwarejeshea wananchi matumaini...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Lissu ameeleweka vizuri sana kuanzia makanisani hadi misikitini wachilia mbali kwenye joto serikalini na vyombo vyake

    Haijawahi tokea mgombea kukubalika kiasi hiki,ni ushindi wa 99% ,takwimu zote zina viashiria vya ushindi. a) CCM imewasababishia matatizo watu wengi wakuu wa Makanisha mpaka inawadai uraia. Watanzania wangapi wametoboa mipaka mpaka wamefika majuu na leo hali zao nzuri hatujasikia fukunyuku za...
  13. funaku

    JamiiForums Tanzania GE2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

    Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi. Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu. My Take: Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama...
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Tatizo kubwa hapa ni elimu yetu na pia hao walio mfanyia tathmini ya ajira huyu afisa wa serikali

    Kama stakabadhi ya ofisi ya serikali Ina makosa ya kiuandishi namna hii, tena kwa lugha ya taifa. Hii inaashiria nini?
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itilie maanani mchezo wa Long Jump naamini tutaweza na ijenge viwanja vya mazoezi

    Wakati nikikua mchezo wa kuruka kwa upondo na ule wa kuruka kawaida sambamba na mchezo wa kurusha mkuki na vitu vizito ilikuwa inafanyika na watu walikuwa wanafanya vizuri. Ukizingatia kwamba Wakenya tayari wamejitambulisha kwa mchezo wa riadha; sisi hapa kwetu Tanzania bado hatujakuwa na...
  16. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania Kero ya misafara ya viongozi wakuu wa serikali: Mwananchi atoa neno zito "Ole wao dada yangu akipoteza maisha!"

    Kichwa cha uzi ni nukuu ya kauli ya jamaa yangu mmoja ambaye sasa hivi yupo likizo huko kijijini kwao mkoani Songwe. Jamaa yangu huyu ananitaarifu kuwa asubuhi ya leo alikuwa amejihimu mapema kumuwaisha hospitali ya mkoa dada yake ambaye usiku mzima wa kuamkia leo amekuwa mahututi. Jamaa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Indiana yafungua kesi ya madai ya takribani Sh. Bilioni 220 dhidi ya Tanzania

    Kampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo Kusini...
  18. B

    JamiiForums Tanzania WAZEE WA CHAMA CHA CHADEMA WATOA ONYO KALI KWA SERIKALI YA MAGUFULI NA JESHI

    30 September 2020 WAZEE WA CHAMA CHA CHADEMA WATOA ONYO KALI KWA SERIKALI YA MAGUFULI NA JESHI Huu wa Uchaguzi Mkuu 2020 vyama vimeamua kusimama kidete na kusema basi dhidi ya chama-dola cha CCM Mpya kinachotumia Tume ya Uchaguzi, Wasimamizi wa Uchaguzi na vyombo vingine vya dola kujaribu...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Serikali yazindua chuo cha mafunzo ya elimu ya michezo na ukocha (DAR)

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amezindua kituo cha Dar es Salaam cha Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya. Chuo cha maendeleo ya Michezo Malya, ni Chuo pekee kinachotoa stashahada ya michezo hapa nchini kwa kuzingatia...
  20. Ulimbo

    JamiiForums Tanzania Kuondoka kwa Mzee Mkapa ni pigo kubwa sana kwa Serikali ya CCM

    Heshima kwenu wanajamvi. Wakati huu ambao bado machungu ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tau Mzee Mkapa hayajaisha, naona ndani ya CCM wana wakati mgumu sana kwani Mzee mkapa ndiye aliyekuwa kama nguzo kwa huyu mgombea anayetetea nafasi kwa mara ya pili. DALILI ZOTE ZINAONESHA KUWA...
Back
Top Bottom