#COVID19 Mganga mkuu wa serikali aagiza majibu ya vipimo vya COVID-19 kutolewa baada ya saa 24

Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,910
25,184
20201226_152015.jpg

Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameuagiza uongozi wa Maabara ya Taifa kutoa majibu ya sampuli za ugonjwa wa Covid-19 ndani ya saa 24, badala ya masaa 72 kwa hospitali zinazopeleka sampuli au kwa wananchi wanaojitokeza kupima ugonjwa huo kwa nia ya kusafiri nje ya nchi https://t.co/zz8C1ZZ6JP
 
Nimekuja mbio nikajua mganga Kama mganga wale wa leta kuku mwenye mimba!

Anyway hivi covid badogo wanapima kumbe mbona Kuna mutu zinasema hivi mara vile..?
 
sio mimi ni mgeni wangu anakuja kutoka nje yeye alifikiri akija tu airport anawekwa karantini nikamuambia sisi kwetu hatujui hicho kitu ndio maana nikaona niingie humu wandugu mnisaidie mimi niko mikoani
Sasa hao si wanatakiwa kuja na certificate za majibu ya covid kbs au?

Majibu yangu yalizungumzia mtu wa ndani anayetaka kupima. Sina uhakika sana na taratibu kwa wanaoingia nchini..

Wadau wengine watatushauri
 
Hivi hii hospital ya agha khan bado inapima corona?
Na ni sh ngapi za kitanzania?

Kwa mwenye uelewa plz.
 
Hivi hii hospital ya agha khan bado inapima corona?
Na ni sh ngapi za kitanzania?

Kwa mwenye uelewa plz.
Usihangaike kwenda kwenye hizo hospital nenda tu direct mahabara kuu ya Taifa,wapo karibu na TFDA.Hakikisha umevaa barakoa na passport yako. Hapo utapata majibu yako kwa uhakika bila usumbufu. Bei ya kupima ni dola mia kwa sasa.
 
Usihangaike kwenda kwenye hizo hospital nenda tu direct mahabara kuu ya Taifa,wapo karibu na TFDA.Hakikisha umevaa barakoa na passport yako. Hapo utapata majibu yako kwa uhakika bila usumbufu. Bei ya kupima ni dola mia kwa sasa.
Najuwa mkuu,,ila nilitaka kujuwa kuhusu agha khan hospital kama gharama zao bado zile zile 75000 Tz shillings au now ni $100 ? Kama serikali ilivyoamuru?
Kwa hospital zote?


Ndy lengo langu mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom