Serikali kuanzia Julai 1, 2020 ilirekebisha viwango vya PAYE. Sasa itoe maelekezo kwa Trade Unions na NHIF kupunguza makato

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
Serikali kuanzia July 1, 2020 ilifanya marekebisho ya sheria ya kodi ya mishahara (PAYE) na kutoa unafuu fulani kwa watumishi.

Naipongeza Serikali kwa maamuzi haya japo tunahitaji iende zaidi ya hapa kwa kuhakikisha inaboresha mishahara ya watumishi kwa kuiongeza kila mwaka.

Kama serikali imeweza kupunguza makato ya kodi ya mishahara (PAYE), tunaomba sasa ivielekeze vyama vya wafanyakazi kama Chama Cha Walimu (CWT), Chama cha wafanyakazi serikali za mitaa (TALGWU) nk navyo vipunguze makato haraka bila kuchelewa.

Mathalani Chama Cha Walimu (CWT) kinakata 2% ya mshahara wa kila mwalimu kila mwezi. Kishushe makato yake hadi 1%.

NHIF nao washushe makato yao hadi 2% toka 4% ya sasa.

Na wakati huohuo serikali nayo ihakikishe inaongeza mishahara ya watumishi wake haraka iwezekanavyo.
 
Serikali kuanzia July 1, 2020 ilifanya marekebisho ya sheria ya kodi ya mishahara (PAYE) na kutoa unafuu fulani kwa watumishi....

Naipongeza serikali kwa maamuzi haya japo tunahitaji iende zaidi ya hapa kwa kuhakikisha inaboresha mishahara ya watumishi kwa kuiongeza kila mwaka...

Kama serikali imeweza kupunguza makato ya kodi ya mishahara (PAYE), tunaomba sasa ivielekeze vyama vya wafanyakazi kama Chama Cha Walimu (CWT), Chama cha wafanyakazi serikali za mitaa (TALGWU) nk navyo vipunguze makato haraka bila kuchelewa...

Mathalani Chama Cha Walimu (CWT) kinakata 2% ya mshahara wa kila mwalimu kila mwezi. Kishushe makato yake hadi 1%...

NHIF nao washushe makato yao hadi 2% toka 4% ya sasa...

Na wakati huohuo serikali nayo ihakikishe inaongeza mishahara ya watumishi wake haraka iwezekanavyo...
Watakuja watoto wa nje ya ndoa kupinga hili
 
Serikali kuanzia July 1, 2020 ilifanya marekebisho ya sheria ya kodi ya mishahara (PAYE) na kutoa unafuu fulani kwa watumishi....

Naipongeza serikali kwa maamuzi haya japo tunahitaji iende zaidi ya hapa kwa kuhakikisha inaboresha mishahara ya watumishi kwa kuiongeza kila mwaka...

Kama serikali imeweza kupunguza makato ya kodi ya mishahara (PAYE), tunaomba sasa ivielekeze vyama vya wafanyakazi kama Chama Cha Walimu (CWT), Chama cha wafanyakazi serikali za mitaa (TALGWU) nk navyo vipunguze makato haraka bila kuchelewa...

Mathalani Chama Cha Walimu (CWT) kinakata 2% ya mshahara wa kila mwalimu kila mwezi. Kishushe makato yake hadi 1%...

NHIF nao washushe makato yao hadi 2% toka 4% ya sasa...

Na wakati huohuo serikali nayo ihakikishe inaongeza mishahara ya watumishi wake haraka iwezekanavyo...
Vyama vya wafanyakazi ni mali ya wafanyakazi inayoendeshwa na wafanyakazi kumtetea mfanyakazi dhidi ya mwajiri wake.

Maana yake kama mwajiri wa Mwalimu ni serikali, CWT inapaswa kumkaba serikali kuhakikisha anampa mwajiriwa wake stahiki zake.

Kwa lugha rahisi CWT wanatakiwa kuwa na beef zito na serikali endapo hawatendei haki wanachama wake.

Sasa ukishaona CWT na serikali wanalala kitanda kimoja, unue hakuna chama hapo.

Na wewe ulivyo mjinga unaiomba serikali isiyokutendea haki eti ikuokoe na dubwana ambalo ni zao lako mwenyewe ( maana hakuna mwajiri anapenda uwepo wa vyama vya kupigania haki za wafanyakazi )

History inaonesha vyama vongi Tanganyika vilikuwa na vuguvugu zito na vilipambana sana nyakati za kupigania UHURU.

Ila sasa tuna kizazi cha kilumbavu haijapata kutokea.

Nchi haina bahati kabisa Hii
 
Back
Top Bottom