The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,258
Naomba kumshauri waziri wa michezo na burudani aanze na kudhibiti vipindi vya michezo kwenye redio na TV.
Redio stations nyingi kama sio zote hapa nchini wanaanza vipindi vya michezo kuanzia sa 12 asubuhi hadi sa 7 mchana. Huu ni muda wa watu kufanya kazi nyingine za uzalishaji.
Hata Ulaya ukiachia zile stations ambazo ni sports perse kitu ambacho hakipo Tanzania, michezo inatangazwa baada ya masaa ya kazi, hasa jioni kwa ajili ya kuburudika.
Ndio maana kokote Duniani ukiacha siku maalum za michezo kama olimpiki ama World Cup michezo haianzi kuchezwa sa 12 asubuhi, ni jioni baada ya watu kufanya shughuli nyingine za uzalishaji.
Marekani, sports and entertainment inachangia 20% ya uchumi, the same na kwa nchi nyingi za ulaya. Maana yake hiyo 80% ambayo ndio msingi mkuu wa uchumi inatakiwa ndio ipewe attention zaidi.
Haiwezekani Muda wa watu kufanya kazi nyingine za uzalishaji wawe wanasikiliza kinachoitwa uchambuzi wa michezo masaa 8 ya siku tena masaa ambayo ni active ya mchana, haiwezekani.
Toka sa 12 asubuhi mtu anasikiliza uchambuzi tu wa mpira atafanya kazi saa ngapi? Mwisho wa siku hao hao tunaenda kuomba misaada kwa hao tunaoshinda kuchambua michezo yao huku wao wakiwa wanapiga kazi.
Serikali isimamie, vipindi vya michezo vianze saa 10 jioni hadi usiku mnene lakini sio kuanza saa 12 asubuhi hadi sa 8 mchana.
Ahsante.
Redio stations nyingi kama sio zote hapa nchini wanaanza vipindi vya michezo kuanzia sa 12 asubuhi hadi sa 7 mchana. Huu ni muda wa watu kufanya kazi nyingine za uzalishaji.
Hata Ulaya ukiachia zile stations ambazo ni sports perse kitu ambacho hakipo Tanzania, michezo inatangazwa baada ya masaa ya kazi, hasa jioni kwa ajili ya kuburudika.
Ndio maana kokote Duniani ukiacha siku maalum za michezo kama olimpiki ama World Cup michezo haianzi kuchezwa sa 12 asubuhi, ni jioni baada ya watu kufanya shughuli nyingine za uzalishaji.
Marekani, sports and entertainment inachangia 20% ya uchumi, the same na kwa nchi nyingi za ulaya. Maana yake hiyo 80% ambayo ndio msingi mkuu wa uchumi inatakiwa ndio ipewe attention zaidi.
Haiwezekani Muda wa watu kufanya kazi nyingine za uzalishaji wawe wanasikiliza kinachoitwa uchambuzi wa michezo masaa 8 ya siku tena masaa ambayo ni active ya mchana, haiwezekani.
Toka sa 12 asubuhi mtu anasikiliza uchambuzi tu wa mpira atafanya kazi saa ngapi? Mwisho wa siku hao hao tunaenda kuomba misaada kwa hao tunaoshinda kuchambua michezo yao huku wao wakiwa wanapiga kazi.
Serikali isimamie, vipindi vya michezo vianze saa 10 jioni hadi usiku mnene lakini sio kuanza saa 12 asubuhi hadi sa 8 mchana.
Ahsante.