sanaa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Sanaa na Utamaduni uwe chini ya Wizara ya utalii

    Sanaa zetu zinatakiwa ziwe chini ya wizara ya mambo ya nje na kuweza kutangazwa na kuleta pesa za kigeni. Vilevile kuwaletea vipato wasanii wetu. Kwa sasa wizara waliyopo wamekuwa kama viranja tu wa kukosoa na kupiga faini bila kusaidia kuwaongezea vipato wasanii. Wasanii wetu na sanaa kwa...
  2. Chief Mtangi

    JamiiForums Tanzania Je, wasanii wa muziki wamekubaliana na uharamia (piracy) katika kazi zao?

    Uharamia (piracy) sio jambo jipya katika sanaa nchini, lilichangia kuanguka kwa BONGO MOVIE hasa baada ya mapato kupungua leo wasanii wamebaki kulaumu foreign films, TV shows and series wakati ukweli wanaujua dhahiri. Now jinamizi hili limeshika hatamu katika upande wa Bongo fleva, tangu...
  3. miminimkulimaakachekasana

    JamiiForums Tanzania Nani aliimba hii Ngoma?

    Huyu jamaa alikuwa ni bonge sio sana sema ana mwili wa kibabe fulani.Alitamba sana miaka ya 2000s Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu kinachonifanya niikumbuke ile video ndani kulikuwa na muigiza wa kike enzi hizo:Sandra Sasa ningependa...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

    Nimefatilia kwa undani mikiki anayopitia Konde Boy toka ajiengue WCB. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hujanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album yake...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kusikiliza kilio cha mtoto ni sanaa katika malezi

    Utafiti juu ya zana za mawasiliano ya watoto uliofanywa na R.G.Hopkins na J.K.Green pamoja na mwanasaikolojia John Bowlby unaonyesha kuwa mzazi anapaswa kusikiliza kilio cha mtoto wake ili kubaini mahitaji ya mtoto huyo. Kusikiliza kilio cha watoto siyo tu wajibu kwa wazazi bali pia ni sanaa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kongamano la Sanaa la Mwalimu: Rais Magufuli apiga simu mbashara na kutoa pongezi, achangia Shilingi Milioni 100

    Wageni waalikwa wameshaingia ukumbini wakiongozwa na mgeni rasmi Waziri mkuu Kassimu Majaliwa. Mhe. Kassim. Majaliwa anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere linalofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha...
  7. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Arts Festival)

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere linalofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini...
  8. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    Roma Mkatoliki amerudi upya jamani. Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma". Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua. Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema; "Kwetu...
  9. kajengwa makunduch

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba ana cha kujifunza kwa Wizkid na Diamond, sanaa sio uadui

    Mdogo Wangu Ally Kiba acha uzazwa, umoja ni nguvu. Wizkid na mafanikio yote yuko humble na ameweza kuonesha upendo kwa kuimba na Diamond Platnumz lakini wewe unajiona mkubwa kuliko Wizkid. Kaka jishushe ili Mungu akupandishe
  10. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Leo nimecheka sana

    Vijana wanataka pepo wanaogopa kufa bhana. Nimefika Baa moja nikaagiza supu na katonic kangu pemben kuna meza kama tayu zimezungukwa na vijana wakila raha na aina mbalimbalu za bia. Hahahaa haikuchukua muda defender ikapita barabarani. Meza zikakimbiwaaa mabinti waliokuja nao maaskini wamelamba...
  11. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Nauliza: Awadh wa TTAFDICK yuko wapi, naona Ubungo kumekuwa kimya sanaa?

    Boss mkubwaaaa yuko wapii huyuuu Nakumbuka alivyokuwa akiwaotea wazee wakazi wa mwendokasi na wale wanaosimama vituo visivyo na maana Kwakweli aliwashonaaaaa aliwanyoooshaaaa kwelii wengineoooo Mpeni salam ubungo imetuliasan sema apunguze kidogo kufunga funga madreva wengine wanahitaji...
  12. Gentleman96

    JamiiForums Tanzania Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

    Habari za wakati huu kwenu wote! UCHORAJI ni sanaa ya kuweka alama kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea, kama vile kalamu ya wino au ya risasi , burashi , penseli za rangi ya wax, crayoni, makaa, choko, pastels, aina mbalimbali za erasers, markers, styluses, metali mbalimbali (kama...
  13. Kaka Pekee

    JamiiForums Tanzania Fikra za Katuni, Siasa za Siasa nchini!

    Fikiria nje ya Box na Wachora Vibonzo Mbalimbali.
  14. Mimi Youtuber

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA WATU WENYE FILAMU ZA KIBONGO *BIASHARA*

    JE UNAMILIKI FILAMU KUANZIA 20 NA KUENDELEA tafadhali ni inbox au email maige.kenneth22@gmail.com NB: Naomba zisiwe YOUTUBE
  15. Chachasteven

    JamiiForums Tanzania Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

    Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama! Nyimbo hio ilifungiwa mapema...
Back
Top Bottom