sababu

The Black Liberation Army (BLA) was an underground Black Power organization that operated in the United States from 1970 to 1981. Composed entirely of Black Panthers (BPP) who served as members of both groups, the organization's program was one of war against the United States government, and its stated goal was to "take up arms for the liberation and self-determination of black people in the United States." The BLA carried out a series of bombings, killings of police officers and drug dealers, robberies (which participants termed "expropriations"), and prison breaks.

View More On Wikipedia.org
  1. Brain Kingdom

    Nimekumbuka Mikasa ya Calculus, Algebra na Trigonometry nimewaza kama nilisomea ujinga bila sababu za msingi

    Hello JF, Baada ya uchovu wa mishe fupi za Leo, nikiwa nimepitiwa na usingizi ndani ya matako ya mjapani nikawaza msoto wa kufundishwa ujinga Calculus Algebra na Trigonometry, plus econometrics kwenye uchumi, nikawa nafananisha kazi niliotoka kuifanya na pesa nilizopata na aina ya msoto wa hizo...
  2. Mwande na Mndewa

    Kadi za CCM zimeanza kurudishwa. Je, ni kwa sababu ya mambo yanayoendelea awamu hii ya sita?

    Je, wapinzani wajiandae kisaikoloji? Je, CCM imeanza kugawanyika kuanzia viongozi wake hadi wanachama wake?
  3. B

    Wizi wa Kura na Makosa ya Tume ya Uchaguzi Nchini Gaboni ndio Sababu ya Mapinduzi. Je, Africa Mashariki tunalo la kujifunza?

    Imeelezwa kuwa Wizi wa kura ambapo Tume ya Uchaguzi Nchini humo ilimtangaza Rais Ali Bongo kuwa mshindi ktk kinyanganyiro uchaguzi Wiki iliyopita. Uchaguzi Nchini Gaboni uligubwikwa na fujo ma vurugu nyingi na vitendo vya uvunjifu wa amani dhidi ya Raia. Aidha taarifa zinadai kuwa siku moja...
  4. Rose Bud

    Je, hizi zinaweza kuwa ni sababu za ongezeko la UTI?

    Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia. Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa...
  5. Lycaon pictus

    Sababu hasa zinazofanya wanajeshi wawapindue watawala

    Mara nyingi wanajeshi husema kuwa wanapindua nchi sababu ya uongozi mbaya, kwa ajili ya wananchi blah blah. Ukweli hizo si sababu kabisa zinazofanya wafanye hivyo. Mara nyingi wanajeshi hupindua nchi baada ya kuona mtawala hana maslahi tena kwao au hawezi kuendelea kulinda maslahi yao. Mfano...
  6. S

    Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

    Watu wanaachana lakini namba hawafuti. Unajua ni kwanini? Kwasababu ni suala la muda tu ipo siku watatafutana. Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura.
  7. K

    Huenda sababu ya Rais Samia kukaa kimya ni hii hapa!

    Tofauti na watu wengine Raisi Samia akiongea lolote kuhusu mkataba wa DP world litamfikia mkuu wa wa Dubai. Sasa tatizo ni nini? 1. Kwanza akisema mazuri tu itakuwa vigumu kwenda kwao tena na kurekebisha mkataba 2. Akisema mabaya ya mkataba wazi wazi watajitoa kwenye mkataba mzima kitu ambacho...
  8. Jokajeusi

    Mama Mzungu, Wanaume siku hizi hawajiamini kwa sababu hawawakuti mkiwa na bikra

    Igweeh! Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra. Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa...
  9. Logikos

    Hakwambii ukweli sababu anakupenda

    Sababu anakupenda atahakikisha hakuumizi; ukweli ni mchungu..., Kama anachofanya kinasaliti pendo lenu sio lazima anafanya hivyo sababu hakupendi bali hio ndio tabia yake... (Kwahio kama aliteleza atahakikisha Siri hii anaingia nayo Kaburini). Hivyo basi usiseme hakupendi bali ongelea tabia...
  10. N'yadikwa

    PICHA: Maisha miji mingi ni ghali bila sababu za msingi

    Hapa ni Mpemba Tunduma hii ni room ya 35,000 very classic na wifi juu. Dar au Arusha hii utasikia 60 au 80 kabisa. Msikompliketi maisha. MY TAKE: Weka bei chee kwenye bidhaa au huduma uza zaidi, Bakhresim theory of doing business.
  11. OCC Doctors

    Kamba ya kitovu kumzunguka mtoto shingoni

    Kamba ya kitovu kumzunguka mtoto shingoni kabla ya kuzaliwa (nuchal cord), matatizo yanaweza kujumuisha shida ya kupumua, na kuzaa mtoto aliyekufa. Kamba ya kitovu inaweza kumzunguka mtoto kwa ulegevu (loose), na inaweza kumzunguka mtoto kisha ikamkaza (tight), na inaweza kumzunguka mtoto mara...
  12. Feld Marshal Tantawi

    Kikwete watumishi wa Mungu hawezi kutofautisha siasa na dini kwa sababu siasa ni dini na dini ni siasa

    Watanganyika wenzangu someni andiko hili mtapata faida na maana kubwa acheni kuhadaiwa na viongozi wa kisiasa wanataka kuigeuza nchi yetu shamba la Bibi.🩸🩸🩸 Kwanza kabisa napenda niwashukuru Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuuelewesha Umma. Kanisa Katoliki ni...
  13. matunduizi

    Nashauri serikali ipige marufuku homework kwa watoto wa shule

    Kwa mtazamo wangu, homework ni ushahidi kuwa walimu wameshindwa kutimiza wajibu wao. Mtoto akiwa shule anatakiwa amalize mambo ya shuleni hukohuko. Akirudi nyumbani awe na majukumu mengine ya nyumbani ili akili zake zitanuke katika vizio vyote. Mbaya zaidi ni likizo. Likizo maana yake ni...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Nilimkatalia kiongozi wa chama fulani kujiunga na chama chao kwa sababu sitakuwa huru kuwatendea haki

    Kwema Wakuu! Mwaka 2020 kuna kiongozi WA chama kikubwa hapa nchini ambaye ni Rafiki yangu na ninayemheshimu Sana. Wakati tunapiga Stori mbili tatu akanishauri nijiunge na chama chao lakini nilimkatalia na kumwambia kuwa sitawatendea Haki yeye na chama chake na watu wengine ikiwa nitajiunga na...
  15. Brain Kingdom

    Je, Viongozi hao kuhudhuria hafla za makanisani ni mpango wa kuwagawa wakristo kwa sababu ule upande wako pamoja kuhusu DP World?

    Wasalaam JF, Nichukue fursa hii kuhoji uwepo wa JKM kwenye hafla ya wasabato je yeye mwanasiasa alienda kufanya nini kwenye hafla ya dini ya wengine? Je, Huyo Rais wenu alienda makanisani kufanya nini? Hii mbinu ya kudhani mtawagawa wakristo wakati nyie mmekula kiapo cha pamoja cha kuunga...
  16. Jackal

    Safari za ndege zasitishwa kwa muda Jijini Moscow sababu ya mashambulizi ya drones za Ukraine

    At least seven people, including a child, were killed and 129 were wounded in a Russian missile strike on the northern Ukrainian city of Chernihiv on August 19, Ukraine's Interior Ministry said, while President Volodymyr Zelenskiy said a "terrorist state" had carried out the attack and caused "a...
  17. Masai wa Town

    Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

    Huyu mpenzi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote. Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Wakristo hawahitaji Sensa kujua idadi Yao. Kwa sababu Ukristo wenyewe ni Hesabu

    WAKRISTO HAWAHITAJI SENSA KUJUA IDADI YAO. KWA SABABU UKRISTO WENYEWE NI HESABU. Anaandika, Robert Heriel. Mtibeli. Moja ya mafundisho makuu katika Ukristo ni fundisho la Hesabu. Ukristo hauwezi kukamilika bila hesabu Kwa sababu hesabu ni sehemu ya Ukristo. Jukumu kuu la Ukristo Duniani ni...
  19. Rutashubanyuma

    Hawa DP WORLD siyo wawekezaji bali ni mchwa

    SERIKALI IJIANDAE KUWATETEA DP WORLD KWA SABABU AJIRA NA MAPATO YA BANDARI YATAKASHUKA MNO! Hawa DP WORLD siyo wawekezaji bali ni mchwa. Tuna mapigo matatu yanahusiana na huu uwekezaji wa kifisadi yanakuja bila kuchelea. Pigo la kwanza mapato yatashuka kinyume na matarajio yao. Mapato ya...
  20. McCollum

    Akina dada na kaka wanawekana kinyumba. Moja ya sababu ya kataa ndoa

    Gwala kwa wana Jf wote, kwa wengine wote ninawapa salamu yangu ya heshima! NB: Naomba kwanza niombe samahani kwa ambaye atakereka na mada tajwa, pia hii sio sehemu ya utafiti na hivyo haitakiwi kuchukulia hili jambo kwa ujumla. Naomba rasmi nianze na uzi huu, kwa miaka ya hivi karibuni...
Back
Top Bottom