Watu wengi wana mapepo ya kimyakimya na yenye kelele kwa sababu ya Miziki na nyimbo wanayosikiliza

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,586
15,370
Mziki ni ibada. Asilimia 99 kinachofanyika mbinguni ni mziki na kuimba. Asilimia kubwa ya kinachofanyika kwenye ikulu ya ibirisi ni nyimbo na miziki.

Kila mziki unaroho nyuma yake. Wanaweza kuwa roho wasafi na roho wachafu. Ndio maana miziki ya ibada ikipigwa kwa utukufu malaika hushuka na pepo wachafu hukimbia.
Ikipigwa kiibirisi Malaika huondoka na majini hutamalaki.

Mganga ili apandishe pepo na mizimu huranguliwa na mapambio na ngoma za kijini. Daudi ili amtoe pepo Mfalme Sauli pepo alipiga chomo cha Muziki kiutukufu pepo akala kona.

My take...
Miziki ya kusisimua, iliyojaa midundo mikali, yenye maneno uanayosifia watu, vitu na mambo machafu bila kujali zinapigwa kanisani au msikitini au disko au au masikioni kwa headphone au masterbed room au sebuleni au popote ni mwaliko wa mamilioni ya majini kuja kuwavuvia wanenguaji na wafuatiliaji.

Kuwa makini na chaguzi zako za kusikiliza. Unachosikiliza na kukiimba kinadetermine unavuviwa na mamilioni ya mapepo au uwepo wa malaika wasiohesabika.

Hi hayo tu.
 
Kuna wakati nilikuwa nchi za watu nilisikiliza mziki kwenye laptop kupitia earphones mara nilitupa earphones mezani kwa jinsi ala ile ya muziki ilivyokuwa ya kishetani! Nilijiskia hovyo mno na kuvamiwa na pepo siku nzima ila kwa bahati nzuri nilikuwa nimeshamfahamu Bwana Mkubwa Yesu Kristo. Niliyacharaza mapepo kwa maombi na asubuhi na mapema ile naamka tu usingizini nilikia kitu kikilia kwa heeeeerrrrrrr!!! Na ilikuwa ndio bye bye. Kuwa mwagalifu sana na miziki na picha inazoangalia!
 
Kuna wakati nilikuwa nchi za watu nilisikiliza mziki kwenye laptop kupitia earphones mara nilitupa earphones mezani kwa jinsi ala ile ya muziki ilivyokuwa ya kishetani! Nilijiskia hovyo mno na kuvamiwa na pepo siku nzima ila kwa bahati nzuri nilikuwa nimeshamfahamu Bwana Mkubwa Yesu Kristo. Niliyacharaza mapepo kwa maombi na asubuhi na mapema ile naamka tu usingizini nilikia kitu kikilia kwa heeeeerrrrrrr!!! Na ilikuwa ndio bye bye. Kuwa mwagalifu sana na miziki na picha inazoangalia!
Muziki ni ibada.
 
Umeongea jambo jema sana Mungu akubariki vijana wengi hawafanikiwi mambo yao lakini hawajui chanzo ni nini kumbe ni hiyo miziki ya bongo fleva wanayoipenda sana kuisikiliza
Na kufollow wacheza uchi huko insta
Miziki hii inazui kabisa mafanikio

Miziki ya kidunia inazuia kabisa roho mtakatifu kuingia ndani yako. Roho mtakatifu ni ile nguvu inayokuwezesha utendaji wa kazi ya Mungu
 
Mmmmmh!!
Yaani pepo limekuvamia siku nzima, halafu ulikuwa ushamfahamu bwana mkubwa yesu?

Huyo yesu alikuwa anafanya nini mpaka ukavamiwa na wewe unadai unamfahamu?

Tutawaliwe tu.
Hapana hakuna kutawaliwa! Ilikuwa ni makosa yangu kujipeleka kwenye site za hatari hata kama sikujua kuwa kuna ala za miziki michafu ya kipepo. Nilipomlilia Bwana Mkubwa Yesu Kristo alikuja na kunirudishia hali yangu ya kawaida! Asifiwe Bwana Mkubwa Yesu Kristo!!!
 
Mziki ni ibada. Asilimia 99 kinachofanyika mbinguni ni mziki na kuimba. Asilimia kubwa ya kinachofanyika kwenye ikulu ya ibirisi ni nyimbo na miziki.

Kila mziki unaroho nyuma yake. Wanaweza kuwa roho wasafi na roho wachafu. Ndio maana miziki ya ibada ikipigwa kwa utukufu malaika hushuka na pepo wachafu hukimbia.
Ikipigwa kiibirisi Malaika huondoka na majini hutamalaki.

Mganga ili apandishe pepo na mizimu huranguliwa na mapambio na ngoma za kijini. Daudi ili amtoe pepo Mfalme Sauli pepo alipiga chomo cha Muziki kiutukufu pepo akala kona.

My take...
Miziki ya kusisimua, iliyojaa midundo mikali, yenye maneno uanayosifia watu, vitu na mambo machafu bila kujali zinapigwa kanisani au msikitini au disko au au masikioni kwa headphone au masterbed room au sebuleni au popote ni mwaliko wa mamilioni ya majini kuja kuwavuvia wanenguaji na wafuatiliaji.

Kuwa makini na chaguzi zako za kusikiliza. Unachosikiliza na kukiimba kinadetermine unavuviwa na mamilioni ya mapepo au uwepo wa malaika wasiohesabika.

Hi hayo tu.
Nyuzi za Baraka kama hizi hazina viewers na wachangiaji wengi!
Ubarikiwe zidi kuleta shuhuda za baraka.
 
Umeongea jambo jema sana Mungu akubariki vijana wengi hawafanikiwi mambo yao lakini hawajui chanzo ni nini kumbe ni hiyo miziki ya bongo fleva wanayoipenda sana kuisikiliza
Na kufollow wacheza uchi huko insta
Miziki hii inazui kabisa mafanikio

Miziki ya kidunia inazuia kabisa roho mtakatifu kuingia ndani yako. Roho mtakatifu ni ile nguvu inayokuwezesha utendaji wa kazi ya Mungu
Kwa sababu ya Muziki watu wengi wamekuwa walevi, wahuni, waraibu.
Hii ni kupitia subliminal messages zilizofichwa ndani ya nyimbo na uvuvio wa majini nyuma ya mirindimo ya sauti na biti.
Nyuzi za Baraka kama hizi hazina viewers na wachangiaji wengi!
Ubarikiwe zidi kuleta shuhuda za baraka.
Amina Mungu akubariki
 
Ulikiwaa waelekea kwenye ukweli ila imekosea kidogo. Miziki yote kwenyee huu ulimwengu wetu ni ya kishetani. Hii ni kwa sababu frequency inayotumikaa ni ya mawimbi ya mapepo wachafu.

Angelia yalichomfanya rose mhando na wengine
 
Walokole na wewe sijui msabato sijui mna shida sana. Ni mengi duniani Yana shida. Hata mpira, ngono(sometimes hata kwa wenzi qa ndoa), biashara, pesa, chakula,mavazi na mengine mengi ni vibaya. Lakini Mungu ameruhusu viwepo ili tufurahie tunapovitumia vizuri na kwa kiasi. Mlokole hata nyimbi ya Bob Rudala nimekuchagua wew atasema ni mbaya🤣🤣 sipati picha wanaishije na wenzi wao huko majumbani. Yan suleman tu mwenyew alikua akipenda nyimbi mpk akaandika na mashairi ya kumsifia mwanamke. Ungekuja na Uzi wako hapa kutummbia mziki fulan chanzo chake Hiki na kwann haufai au utumiwe ka kiasi tungewaelewa. Punguzeni mihemko Mungu hayuko hivyo aisee!
 
Mziki ni ibada. Asilimia 99 kinachofanyika mbinguni ni mziki na kuimba. Asilimia kubwa ya kinachofanyika kwenye ikulu ya ibirisi ni nyimbo na miziki.

Kila mziki unaroho nyuma yake. Wanaweza kuwa roho wasafi na roho wachafu. Ndio maana miziki ya ibada ikipigwa kwa utukufu malaika hushuka na pepo wachafu hukimbia.
Ikipigwa kiibirisi Malaika huondoka na majini hutamalaki.

Mganga ili apandishe pepo na mizimu huranguliwa na mapambio na ngoma za kijini. Daudi ili amtoe pepo Mfalme Sauli pepo alipiga chomo cha Muziki kiutukufu pepo akala kona.

My take...
Miziki ya kusisimua, iliyojaa midundo mikali, yenye maneno uanayosifia watu, vitu na mambo machafu bila kujali zinapigwa kanisani au msikitini au disko au au masikioni kwa headphone au masterbed room au sebuleni au popote ni mwaliko wa mamilioni ya majini kuja kuwavuvia wanenguaji na wafuatiliaji.

Kuwa makini na chaguzi zako za kusikiliza. Unachosikiliza na kukiimba kinadetermine unavuviwa na mamilioni ya mapepo au uwepo wa malaika wasiohesabika.

Hi hayo tu.
Hivi kwanini majini hushuka miskitini wakati nyimbo za kuzikiri zikiimbwa, unataka kutuambia malaika na majini hawapatani?
 
Back
Top Bottom