DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,998
- 45,501
Hili jambo la wanawake wenye mwonekano mzuri na umbo kukosa kuolewa na kuishia kuwa malaya lipo kiroho zaidi.
Kwanza ieleweke hivi sio wanawake wote wazuri hawana akili au ni Malaya Ila baadhi yao hawana akili na wameishia kuwa michupuko na Malaya.
Hipo hivi binadamu anapozaliwa huwa anapewa baadhi ya vitu Kama kipaji ,uzuri wa sura umbo ,akili za utambuzi wa mambo n.k
Sasa kile kitu ulichopewa na unapoanza kukitumia vibaya lazima utanyanganywa na hautokipata tena kirahisi.
Hivyo baadhi ya wanawake wazuri wanaonekana kuishi maisha magumu ila baadhi yao huo uzuri waliopewa walishautumia vibaya kutembea na wanaume za watu kuvunja ndoa za watu kuumiza wanaume ,kuwaibia n.k
Nahitimisha kuwa ukipewa kipaji, au uzuri ,pesa n.k hakikisha hivyo vitu unavitumia Kwa njia Chanya tofauti na hapo utanyanganywa .
Andiko hili nimefanya marejeo kupitia .
Familia yangu-
Wema sepetu na Chid Benz-
Diamond+
Alikiba+
Bill gate +
Jay z+
Bakhressa+
Kwanza ieleweke hivi sio wanawake wote wazuri hawana akili au ni Malaya Ila baadhi yao hawana akili na wameishia kuwa michupuko na Malaya.
Hipo hivi binadamu anapozaliwa huwa anapewa baadhi ya vitu Kama kipaji ,uzuri wa sura umbo ,akili za utambuzi wa mambo n.k
Sasa kile kitu ulichopewa na unapoanza kukitumia vibaya lazima utanyanganywa na hautokipata tena kirahisi.
Hivyo baadhi ya wanawake wazuri wanaonekana kuishi maisha magumu ila baadhi yao huo uzuri waliopewa walishautumia vibaya kutembea na wanaume za watu kuvunja ndoa za watu kuumiza wanaume ,kuwaibia n.k
Nahitimisha kuwa ukipewa kipaji, au uzuri ,pesa n.k hakikisha hivyo vitu unavitumia Kwa njia Chanya tofauti na hapo utanyanganywa .
Andiko hili nimefanya marejeo kupitia .
Familia yangu-
Wema sepetu na Chid Benz-
Diamond+
Alikiba+
Bill gate +
Jay z+
Bakhressa+