Huwa natafakari Sana kuhusu thamani ya Watu wasio waadilifu, upanda ghafla na kushuka ghafla. Safari ya utajiri wa Rugemalila na Seth unifanya nijiulize haya yote twajilimbikizia ya Kazi Gani kama ayawezi kutumika kutulinda?
Rostam afadhali yeye alikimbia nchi, akakamatwa ndugu yake na rundo la...
Kama sheria inaruhusu, na kama mzee huyu ana sifa na vigezo vinavyotakiwa, basi stashangaa kuona akiteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi wa mojawapo ya taasisi zetu hapa nchini.
Lakini kwakuwa hata utawala wa sheria hauzingatiwi, bado tu anaweza kulamba uteuzi hata kama sifa hana.
Hivi ndivyo wenzetu...
Mzee pole sana lakini chukua tahadhari hususani magonjwa ya corona uraiani yanatisha
Mshukuru Mungu kwa kukuondoa mahabusu kimya kimya usifanye sherehe
Tenga mda wako ujitenge na wageni wenye huruma za kinafiki ikiwezekana.
Fanya kama lowassa, Jiepushe na vurugu za siasa wala usicoment chochote...
MFANYABIASHARA, James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ameandika barua kwenda kwa Kamishna Generali wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akielezea ni jinsi gani benki ya Standard Charter Hong kong walivyokuwa wakikwepa kodi na ushuru wa forodha.
Rugemalira aliyaeleza hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.