Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Huwa natafakari Sana kuhusu thamani ya Watu wasio waadilifu, upanda ghafla na kushuka ghafla. Safari ya utajiri wa Rugemalila na Seth unifanya nijiulize haya yote twajilimbikizia ya Kazi Gani kama ayawezi kutumika kutulinda?
Rostam afadhali yeye alikimbia nchi, akakamatwa ndugu yake na rundo la silaa ikabidi arejee kuja kukabidhi channel ten na miradi yake Mingine. Kwa umafia akaamua kujifanya mjinga mara paap akapewa Dili la Taifa gas Tena Kwa kukabidhiwa na aliyemkimbiza nchi. For this regime he is safe and he can recovery loss ambazo zilijitokeza. Ila Bado apaswi kuuamini huu mfumo usipomtesa yeye utawatesa ndugu yake.
Kuna kuwa tajiri ukaishi kama tajiri na Kuna kuwa tajiri ukaishi kama digidigi, na hii utokea afrika pekee ambapo tajiri ni mwanasiasa aliyepo madarakani, miobaki ni watumwa kwake regardless ya amount ya fedha uliyonayo.
Usipokuwa mwanasiasa na ukapishana na mwanasiasa kimapenzi, kiuchumi, kiitikadi na kisera wewe utakuwa maskini kama maskini wengine. Utakuwa na fedha ila utazila Kwa shida.
Tujiulize safari ya utajiri wa Seth na Rugemalila Ndo ikawa mwisho 2015? Safari ya familia ya akina Mo na wengine ndo itegemee mwanasiasa pamoja na kusota kwao kote kutafuta fedha na Mali? Kwamba Sasa ni matajiri ila wanaogopa kutoka ndani kuingia uwanjani kuuongeza utajiri wao Kwa sababu ya mwanasiasa? Kwamba wanakula Kwa mawazo?
Kwanini awakuona ubovu wa mfumo wakatumia fedha zao kuzalisha mfumo ambao utawapa uhakika wa kusimamia utajiri wao mbele ya jamii na mbele ya mahakama? Kwamba waseme utajiri wangu Mimi nimeupata Kwa shida na nitaulinda daima!
Kwanini matajiri wetu wanaochipukia wanashindwa kujilinda na maadui? Lazima wafungamane na wanasiasa? For what? Bado wanaamini awamu ya Tano ikirudi watabaki salama?
Nawakumbusha muda ni Sasa, ufe mfumo mbovu uzalishwe mfumo madhubuti unaoheshimu haki ya Kuishi, kumiliki Mali, kuwakilishwa kwenye vyombo vya maamuzi na kulinda utu au ubaki mfumo uliopo unaowafanya wawaze nani kesho atatawala?
Walikuwa na fedha azikuwasaidia, angalau tungekuwa na katiba imara, taasisi imara na sheria madhubutu wasingeishia kuzeeka Kwa fedhea wanayopata Sasa.
Tafakuru ya kiuchusiasa(ecopolitics
Rostam afadhali yeye alikimbia nchi, akakamatwa ndugu yake na rundo la silaa ikabidi arejee kuja kukabidhi channel ten na miradi yake Mingine. Kwa umafia akaamua kujifanya mjinga mara paap akapewa Dili la Taifa gas Tena Kwa kukabidhiwa na aliyemkimbiza nchi. For this regime he is safe and he can recovery loss ambazo zilijitokeza. Ila Bado apaswi kuuamini huu mfumo usipomtesa yeye utawatesa ndugu yake.
Kuna kuwa tajiri ukaishi kama tajiri na Kuna kuwa tajiri ukaishi kama digidigi, na hii utokea afrika pekee ambapo tajiri ni mwanasiasa aliyepo madarakani, miobaki ni watumwa kwake regardless ya amount ya fedha uliyonayo.
Usipokuwa mwanasiasa na ukapishana na mwanasiasa kimapenzi, kiuchumi, kiitikadi na kisera wewe utakuwa maskini kama maskini wengine. Utakuwa na fedha ila utazila Kwa shida.
Tujiulize safari ya utajiri wa Seth na Rugemalila Ndo ikawa mwisho 2015? Safari ya familia ya akina Mo na wengine ndo itegemee mwanasiasa pamoja na kusota kwao kote kutafuta fedha na Mali? Kwamba Sasa ni matajiri ila wanaogopa kutoka ndani kuingia uwanjani kuuongeza utajiri wao Kwa sababu ya mwanasiasa? Kwamba wanakula Kwa mawazo?
Kwanini awakuona ubovu wa mfumo wakatumia fedha zao kuzalisha mfumo ambao utawapa uhakika wa kusimamia utajiri wao mbele ya jamii na mbele ya mahakama? Kwamba waseme utajiri wangu Mimi nimeupata Kwa shida na nitaulinda daima!
Kwanini matajiri wetu wanaochipukia wanashindwa kujilinda na maadui? Lazima wafungamane na wanasiasa? For what? Bado wanaamini awamu ya Tano ikirudi watabaki salama?
Nawakumbusha muda ni Sasa, ufe mfumo mbovu uzalishwe mfumo madhubuti unaoheshimu haki ya Kuishi, kumiliki Mali, kuwakilishwa kwenye vyombo vya maamuzi na kulinda utu au ubaki mfumo uliopo unaowafanya wawaze nani kesho atatawala?
Walikuwa na fedha azikuwasaidia, angalau tungekuwa na katiba imara, taasisi imara na sheria madhubutu wasingeishia kuzeeka Kwa fedhea wanayopata Sasa.
Tafakuru ya kiuchusiasa(ecopolitics