- Mzee pole sana lakini chukua tahadhari hususani magonjwa ya corona uraiani yanatisha
- Mshukuru Mungu kwa kukuondoa mahabusu kimya kimya usifanye sherehe
- Tenga mda wako ujitenge na wageni wenye huruma za kinafiki ikiwezekana.
- Fanya kama lowassa, Jiepushe na vurugu za siasa wala usicoment chochote
- Kuwa makini sana na shughuli za kijamii utakazoalikwa ikiwezekana chukua tahadhari kubwa!
- Usipende sana kucheza na wajukuu kwasasa, ikilazimika hakikisha wajukuu wako salama (wametakasika) kabla ya kukumbatia!
- Usiwaze kuanzisha biashara mpya kwa sasa kasimisha majukumu yako ili ujiepushe na stress zozote!
- Kuwa mtu wa ibada, kula vizuri, kazi za bustani Fanya mwenyewe ili kuupa mwili mazoezi!
Awamu ya NNE iliyokufanya ukae mahabusu awamu ya TANO sasa imekupambania awamu ya SITA umetoka!
Karibu sana uraiani mzee RUGEMALILA lakini upepo umekoregeka ndiyo maana tunavaa barakoa!