Hakuna siri tena kwa sasa, kila kitu kiko wazi kwenye siasa za Tanzania, wafuasi wa Magufuli wamegawanyika kwenye makundi makubwa mawili.
Kwa sasa kuna vita kubwa ya maneno, vijembe, kashfa, fitna, husuda, mivutano na hila za wazi wazi baina ya wafuasi wa Magufuli. Kuanzia mtaani, mitandaoni...