Hujuma Rasmi: sina hakika kama kufika Desemba Deluxe Dar-Arusha itakuepo tena

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,457
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa Jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni Jumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamilike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
 
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni tumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
Nchi hii kila sekta ni "flat chest". Hata ulinzi na usalama wa mali na uhai wa Tanzania upo mashakani. Kama IGP anasema wazazi msituzalie akina Hamza wakati yeye mwenyewe analo toto alilozaa linavuta bange balaa na linashida kwenye Bar ya baba yake (IGP) likifanya maovu, ndiyo ujue tuendako ni giza nene.
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
162869316286936.jpg
 
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni tumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
Kwani nauli mnalipaga elfu mbili mia tano?
 
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni tumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
Kwanza ulitakiwa kabla ya kulaumu uttuambie kwa kawaida hiyo treni huwa inatoka muda gani na inatakiwa kufika saa ngapi?

Kuhusu uzembe kwa Watanzania imekuwa ni mazoea kwa usafiri wa mwendokasi mwendazake aliuachaje?
 
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni tumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
Jifunze jinsi ya kuwasilisha hoja hapo b umelalamika na Hanna mtu ataekusikia sababu ya kelele zako.

Treni ilitoka saa ngap Arusha?

KWANINI ilichelewa?

Hutumia masaa mangap kufika dar?

Vp huduma zake kuanzia tiketi mpaka unashuka?

Nini kifanyike ili kuboresha huduma hyo!

Nanyie Tanzania Railways Corp mmesikia?
 
Huu utakuwa uzi wangu wa pili kuzungumzia mradi huu ambao Hayati aliacha kama Legacy. Kwa wanaosafiri mara kwa mara wanaweza kuja na maelezo ya kutosha sababu nilichoshuhudia jumamosi ni hatari kwa Tanzania Railways Corp .
Tumetoka Arusha usiku wa jumamosi tumeingia Dar saa 10 jioni tumapili.

Nani atapanda tena usafiri kama huu? Shirika linaenda kufa rasmi, labda tusubiri SGR ikamike tuone kama wataweza. Kumbe uongozi kipaji bhana sio kila mtu anaweza kuongoza
Niliyezoea kuendeshwa na limo na private jets haya mnayoyaongelea nayaona mageni sana kwangu. Ni kwenye kufa tu ndo tuko sawa.
 
Kwanza ulitakiwa kabla ya kulaumu uttuambie kwa kawaida hiyo treni huwa inatoka muda gani na inatakiwa kufika saa ngapi?

Kuhusu uzembe kwa Watanzania imekuwa ni mazoea kwa usafiri wa mwendokasi mwendazake aliuachaje?
Kawaida linatakiwa kutoka Arusha saa 8 mchana kufika Moshi saa 10 lifanyiwe usafi kuendelea saa 12 jioni,sa juzi linetoka Moshi saa 6 usiku
 
Labda hata n jero maana kutoka
Usku kuingia dar jion hii haingii kabisa
Akili Bora ulipe zako bus ufke mapema
Akili za wenye mabasi na malori hizi
Kwani treni Dar Arusha huchukua muda gani??
Nauli yenyewe umelipa 8,700 kisha unataka usafirishwe kama umepanda Fresh ya Shamba.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Back
Top Bottom