Dah! Uchifu ni uchawi..kweli asiye jua maana haambiwi maana....mkataa kwao ni mtumwa!Ni ujinga kuwasikiliza hao wachawi
MkwereMfano mkoa kama Dar chifu atatoka kabila lipi?
Namsikiliza huyu Rais amekubali ombi lao na amesema anaandaa kikao akutane na mchifu Tanzania nzima 🤣 🤣 🤣 🤣🤣Uchifu hauna nafasi kwa sasa
Bora kuliko hawa machifu wa CCM aseeKatika vitu ambavyo Nyerere alitumia akili sana ni kuvunjilia mbali uchifu, wangetuvuruga kwa ukabila na hivyo project ya kujenga utaifa kufeli
Bora kuliko wakuu wa mikoa na wilaya aseeNamsikiliza huyu Rais amekubali ombi lao na amesema anaandaa kikao akutane na mchifu Tanzania nzima 🤣 🤣 🤣 🤣🤣
Wanataka turudi enzi za ujima!Ni ujinga kuwasikiliza hao wachawi
MzaramoMfano mkoa kama Dar chifu atatoka kabila lipi?
Namsikiliza huyu Rais amekubali ombi lao na amesema anaandaa kikao akutane na mchifu Tanzania nzima 🤣 🤣 🤣 🤣🤣Katika vitu ambavyo Nyerere alitumia akili sana ni kuvunjilia mbali uchifu, wangetuvuruga kwa ukabila na hivyo project ya kujenga utaifa kufeli
mzaramo yupi? Dar kuna wazaramo pure? wengi walishaingia ndoa za mchanganyiko hawajui hata lugha yenyewe ya kizaramoMzaramo