Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Ili kuondoa kisingizio kisichokuwa na sababu ya msingi ya kumkwepa Twaha Kiduku.
Ninashauri liandaliwe Exhibition Fight kati ya Hassan Mwakinyo vs Twaha Kiduku.
Exhibition fight hakuna bondia atakayepungukiwa chochote akipigwa na hakuna atakayetangazwa mshindi kama raundi za mchezo zote zitakwisha, mshindi atatangazwa kama tu atashinda kwa Knockout.
Sasa kisingizio cha Mwakinyo cha kuhofia kupoteza nafasi yake nadhani halitakuwa na mashiko kwa sababu hata akipigwa bado ataendelea kubakia kwenye nafasi yake.
Tunachotaka ni heshima na tuondoe ubishi uliopo.
Ninashauri liandaliwe Exhibition Fight kati ya Hassan Mwakinyo vs Twaha Kiduku.
Exhibition fight hakuna bondia atakayepungukiwa chochote akipigwa na hakuna atakayetangazwa mshindi kama raundi za mchezo zote zitakwisha, mshindi atatangazwa kama tu atashinda kwa Knockout.
Sasa kisingizio cha Mwakinyo cha kuhofia kupoteza nafasi yake nadhani halitakuwa na mashiko kwa sababu hata akipigwa bado ataendelea kubakia kwenye nafasi yake.
Tunachotaka ni heshima na tuondoe ubishi uliopo.