UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA "WAKA" TAREHE 28/08/2021
WAKA Wananchi&Katiba
Dar es salaam., Tanzania
9 JUL 2021 —
Nachukua fursa hii kuwatangazia kua Uzinduzi rasmi wa Kampeni ya WAKA (Wananchi na Katiba) utafanyika tarehe 28/08/2021 ukumbi wa LAMADA HOTEL, ILALA - DAR ES SALAAM kuanzia saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 8 mchana.
Nyote mnakaribishwa kwenye kongamano hilo.
Pia nichukue fursa hii kuwafahamisha kua Jaribio la Daftari la WAKA (Wanancbi & Katiba) linaendelea katika wilaya mbalimbali za Jiji la Dar es salaam.
WAKA tunawashukuru wananchi wenzetu kwa ushirikiano.
Yahaya Omary Mpanda.
WAKA Wananchi&Katiba
Dar es salaam., Tanzania
9 JUL 2021 —
Nachukua fursa hii kuwatangazia kua Uzinduzi rasmi wa Kampeni ya WAKA (Wananchi na Katiba) utafanyika tarehe 28/08/2021 ukumbi wa LAMADA HOTEL, ILALA - DAR ES SALAAM kuanzia saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 8 mchana.
Nyote mnakaribishwa kwenye kongamano hilo.
Pia nichukue fursa hii kuwafahamisha kua Jaribio la Daftari la WAKA (Wanancbi & Katiba) linaendelea katika wilaya mbalimbali za Jiji la Dar es salaam.
WAKA tunawashukuru wananchi wenzetu kwa ushirikiano.
Yahaya Omary Mpanda.