raisi

  1. N

    Rais Magufuli na Waziri Kamwelwe fanyeni haya juu ya zuio la ndege za Tanzania kwenda Kenya

    Nawapongeza kwa hatua zilizochukuliwa za kuzuia ndege za Kenya kutua nchini. Sitaki kuwachosha na maneno mengi, ila nimeona mazungumzo yameanza kurejesha safari, mimi nina wazo hili. Kwa kuwa kenya wameanzisha utaratibu wa kutubeep, tukiwapigia wanaomba tuongee tuyamalize, mimi nashauri ili...
  2. Influenza

    Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

    Mwanasiasa wa upinzani nchin Tanzania Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi nchini humo Julai 28. Lissu ametangaza nia ya kugombea urais kupitia chama chake cha CHADEMA Oktoba mwaka huu. Mwanasiasa huyo kwa sasa yuko ughaibuni ambapo alienda kupata matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi...
  3. mdudu

    Spika Ndugai kumuomba Rais Magufuli ajenge Ofisi za TAKUKURU Kongwa ni sahihi?

    Ndugu wana bodi Leo kwenye uzinduzi wa Ofisi mpya za TAKUKURU Chamwino mkoani Dodoma, Sipika Ndugai amemwambia Raisi Magufuli kuwa Wilayani kwake hawana Ofisi za Takukuru . Kitu cha kushangaza ni kwamba ,Bajeti ya Bunge imepitishwa takribani mwezi mmoja sasa na yeye alikuwa ndiye msimamizi wa...
  4. S.M.P2503

    Rais Magufuli, tafadhali mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee

    Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki. Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na...
  5. YEHODAYA

    GE2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

    Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo...
  6. M

    Sanaa ya siasa: Mbinu za Rais Magufuli katika medani hii

    Nimefuatilia siasa za Tanzania kwa muda mrefu, nimefuatilia haiba, mienendo ya kisiasa ya watu mbalimbali maarufu nchini. Miongoni mwa hao, nimefuatilia namna ambavyo raisi Magufuli hufanya siasa zake. Ufuatao ni uchambuzi wa mbinu na tekniki amazo raisi Magufuli hutumia ili kufikia malengo...
  7. C

    Mlinzi wa Rais kuvaa sare za chama ni sahihi?

    Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
  8. YEHODAYA

    Rais Magufuli yuko vizuri kwenye ulinzi wa mitaji ya umma, yaani public capital kuliko Rais yeyote aliyemtangulia

    Moja ya majukumu makubwa ya Rais ni kusimamia vizuri mapato na matumizi ya serikali. Lakini ana kazi ingine kubwa sana ya kusimamia mitaji ya umma ambayo pesa za serikali zimewekwa kwenye vitega uchumi mbalimbali kwenye mashirika ya umma na taasisi ii hiyo mitaji isife. Tunakumbuka kwa marais...
  9. J

    GE2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

    Dkt. Magufuli ambaye ndiye Rais wa Tanzania leo atarudisha fomu ya maombi ya kugombea urais kupitia CCM kwenye makao makuu ya chama jijini Dodoma. === Updates: Rais Magufuli anarudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Makao Makuu ya chama, Dodoma. Hadi sasa ni...
  10. P

    Sifa 5 za rais wa Mabeberu

    1. Anaishi karibu sana na Mabeberu. 2. Anaenda nchi za Mabeberu. 3. Anategemea uungwaji mkono wa kisiasa na Mabeberu. 4. Anahisi Mabeberu ndio watu wakuleta maendeleo. 5. Siasa zake sio za maendeleo.
  11. M

    GE2020 Nyalandu kwa Interview hii umepoteza uhalali wa kumkabili Dkt. Magufuli kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020

    Nimesikiliza mahojiano baina ya Mtia nia wa kugombea uraisi wa Chadema ndugu Nyalandu na kituo cha redio cha wasafi. Nyalandu ameulizwa swali kuhusu Twiga waliokuwa wakitoroshwa nje ya nchi kwa kupandishwa ndege. Katika majibu yake Nyalandu anaonyesha kujibu huku akimrefer raisi Magufuli kama...
  12. YEHODAYA

    Makamu wa Rais azungumza na Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Temeke

    Makamu Wa Raisi Azungumza Na Wajumbe Wa Kamati Ya Siasa Na Sekretarieti Ya CCM Wilaya Ya Temeke Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa...
  13. YEHODAYA

    Baadhi ya Mambo makubwa mazuri Rais Magufuli aliyowafanyia Wananchi wa kawaida

    Wapiga kura wengi ni watu wa kawaida wanyonge sio wakaa maeneo ya uzunguni, katikati ya miji na maeneo ya wenye nazo na wenye mavyeo Rais Magufuli toka ashike strategy yake imekuwa kupeleka maendeleo kwa wapiga kura watu wa kawaida walio wengi Baadhi ya Makubwa aliyowafanyia watu wa kawaida Ni...
  14. Pdidy

    Kiukweli Arusha ilinuka Mh. Polepole ulichelewa sana kumshauri Rais kama yule DC wa Mara

    Naomba nichukue muda kumshukuru. Mh rais kwa yale mazuri anayoendelea kufanya ikiwemo. Kutoangalia wanaokichafua chama. Na serikali yake. Niweke wazi viongozi wa CCM mnaomsaidia mh raisi kama mtaacha dhana ya kujuana ama Kulindana mtamsaidia sana mh rais. Nioongee machache kuna DC Mara alikuwa...
  15. M

    GE2020 Urais wa Zanzibar siyo jambo la Muungano. Si sahihi kwa Watanganyika kushiriki kwa namna yoyote ile kumpata Rais wa Zanzibar

    Tunayo mambo mengi tu ya Muungano lakini suala la Uraisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar siyo mojawapo. Hivi sasa Chama cha Mapinduzi kiko busy kutafuta Mgombea Uraisi wa Zanzibar, katika vitu ambavyo ni makosa ni kuwahusisha Watanganyika katika mchakato wa kumtafuta mtu ambaye atakuwa...
  16. paul sylvester

    Mapendekezo, ungependa nini cha kufanyiwa kazi ambacho kitaleta mabadiliko ya kiuchumi kwa haraka katika Serikali ijayo 2020 - 2025?

    Tumeona mengi na makubwa na Pengine Yale ambayo hatukuamini kwamba yatafanyika katika Taifa letu Kwa kipindi kifupi Tu cha miaka mitano, Yamefanyika, Nami sitaki kuyarejelea yaliyofanyika, kwani kila mtu ni shuhuda wa yaliyofanywa na serikali inayomaliza muda wake, na mwenye macho haambiwi...
  17. J

    GE2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma. Maendeleo hayana vyama!
  18. S

    Kuna haja ya Rais Magufuli kufafanua anaposema "tunatumia hela zetu za ndani" anamaanisha kwamba hata mikopo ni "fedha zetu 100%"

    Leo nimememsikia Raisi Magufuli akisema kwamba tunajenga SGR kwa pesa zetu 100% Lakini wakati huo huo wote tunakumbuka kwamba mwaka huu Waziri wa fedha Dr. Mpango alitia sahihi na wakopeshaji 17 walioratibiwa na benki ya Standard Chartered Bank kutoa mkopo wa Trilioni 3.3 kwa ajili ya ujenzi wa...
  19. M

    Rais Magufuli stuka, wenzako wanakung'ong'a kwa sifa, sifa zao ni dhihaka kwako wakataze

    Nyerere alisifiwa sana lakini hakupenda misifa ya kijinga. Na alikuwa anajua sana kuwasoma wanaotafuta vyeo kwa kumsifusifu akawa hawapi au anatafuta namna ya kuwanyamazisha kwa vijembe vya hali ya juu. Mheshimiwa Rais, stuka sasa hawa wanakusifusifu hovyo hawakutakii mema, wanakung'ong'a...
  20. J

    Rais Magufuli: Watanzania mniombee ili nimalize vizuri kipindi changu cha uongozi kama ilivyo kwenye katiba baada ya hapo niwaachie wengine

    Hizi ni kama salamu kwa Ndugai na wale wengine wenye nia ya kubadilisha Katiba ili kuongeza muda wa Rais kukaa madarakani. Leo jijini Dodoma katika sherehe za uzinduzi wa wa barabara katika mji wa kiserikali yenye urefu wa kilomita 51.2, pamoja na uzinduzi wa Jengo la ofisi za TARURA mji wa...
Back
Top Bottom