mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,857
Ndugu wana bodi
Leo kwenye uzinduzi wa Ofisi mpya za TAKUKURU Chamwino mkoani Dodoma, Sipika Ndugai amemwambia Raisi Magufuli kuwa Wilayani kwake hawana Ofisi za Takukuru .
Kitu cha kushangaza ni kwamba ,Bajeti ya Bunge imepitishwa takribani mwezi mmoja sasa na yeye alikuwa ndiye msimamizi wa upitishaji wa bajeti hiyo tena kwa kishindo .
Je, kulialia mbele ya Raisi na kuomba ajengewe Ofisi, ni sahihi? Raisi anapata wapi Bajeti na fedha za kujenga Ofisi Kongwa? Je Raisi ndiye anayepanga bajeti ya Serikali? Je yeye Sipika na ni Mbunge wa Kongwa hakujua mahitaji ya ya Ofisi katika wilaya yake katika kipindi chote akiwa madalakani ndiyo ameyajua sasa? Je fedha Raisi atazipata wapi na bajeti imeshapitishwa?
Karibuni.
Leo kwenye uzinduzi wa Ofisi mpya za TAKUKURU Chamwino mkoani Dodoma, Sipika Ndugai amemwambia Raisi Magufuli kuwa Wilayani kwake hawana Ofisi za Takukuru .
Kitu cha kushangaza ni kwamba ,Bajeti ya Bunge imepitishwa takribani mwezi mmoja sasa na yeye alikuwa ndiye msimamizi wa upitishaji wa bajeti hiyo tena kwa kishindo .
Je, kulialia mbele ya Raisi na kuomba ajengewe Ofisi, ni sahihi? Raisi anapata wapi Bajeti na fedha za kujenga Ofisi Kongwa? Je Raisi ndiye anayepanga bajeti ya Serikali? Je yeye Sipika na ni Mbunge wa Kongwa hakujua mahitaji ya ya Ofisi katika wilaya yake katika kipindi chote akiwa madalakani ndiyo ameyajua sasa? Je fedha Raisi atazipata wapi na bajeti imeshapitishwa?
Karibuni.