Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Naomba nichukue muda kumshukuru. Mh rais kwa yale mazuri anayoendelea kufanya ikiwemo. Kutoangalia wanaokichafua chama. Na serikali yake.
Niweke wazi viongozi wa CCM mnaomsaidia mh raisi kama mtaacha dhana ya kujuana ama Kulindana mtamsaidia sana mh rais.
Nioongee machache kuna DC Mara alikuwa anatukana watu ofisini anafikia kuweka bastola bar tena bila aibu akilewa anajiita ndie raisi wa Mara mwenye kupiga kelele aongee.
Haifaii akaanza kulazimisha mahusiano na wake za wafanyakazi.
Hizi taarifa zilifika Lumumba siku nyingi sana.
Wanasema mkilea... Mtazaa.... Gafla akaanza kupambana na viongozi wa ccm mkoa na Wilaya.
Mh polepole alienda akambiwa yote na kurejea pale newmwanza kuelekea Dar.
Wakamwacha aendelee waliposhtuka chama. Kilikuwa icu mara ndipo wakamwodoa mh B. L.
Nirudi kwa mh Gambo
Sipendi kuongea ila ni huzuni kubwa sana Mh Polepole na timu yake wamekuwa Arusha muda mrefu mara kwa mara mh Polepole ameona sana zile vid za rc vs dc wakirushiana maneno.
Aitoshi naamini badomalengo yetu n maendeleo aijalishi mb n mpinzani mh gambo amekuwa akipambana sana na mh lema bila aibu hata kwenye mambo yanayohusu maendeleo.
Mh polepole niseme moja jambo kama mb atafanikkiwa kuleta wafadhili kuendeleza maendeleo ya mkoa tumuunge mkono tusiingize siasa kwenyw maendeleo
Mh Gambo niseme mlimlea sana mlimwacha akawa kama gugu la Misebo hata uwezi kumshauri.
Mh kaka polepole nafurahi kusikia uamuzi wa mh raisi niseme jambo moja msisubiri harufu zitoke mkiona mtu anaua chama mwondoen mapema tu.
Leo hii Arusha wanakula Bia bar zote asbh hii kama. Amwamini piteni na wanasherekea kuondka kwa Gambo hiii ni mbaya.
Msisubiri mtu akafikia level hii hasa RC anaemwakilisha mh raisi aipendezi.
Niombe muwe mnaratiba ya kupita kila. Mkoa kuangalia. Maendeleo na mahusiano ya chama. Na viongozi muweze kukilinda chama chetu palw. Mnapoona shida msichoke kumshauri mh raisi tule hapana tuondolee
Niweke wazi viongozi wa CCM mnaomsaidia mh raisi kama mtaacha dhana ya kujuana ama Kulindana mtamsaidia sana mh rais.
Nioongee machache kuna DC Mara alikuwa anatukana watu ofisini anafikia kuweka bastola bar tena bila aibu akilewa anajiita ndie raisi wa Mara mwenye kupiga kelele aongee.
Haifaii akaanza kulazimisha mahusiano na wake za wafanyakazi.
Hizi taarifa zilifika Lumumba siku nyingi sana.
Wanasema mkilea... Mtazaa.... Gafla akaanza kupambana na viongozi wa ccm mkoa na Wilaya.
Mh polepole alienda akambiwa yote na kurejea pale newmwanza kuelekea Dar.
Wakamwacha aendelee waliposhtuka chama. Kilikuwa icu mara ndipo wakamwodoa mh B. L.
Nirudi kwa mh Gambo
Sipendi kuongea ila ni huzuni kubwa sana Mh Polepole na timu yake wamekuwa Arusha muda mrefu mara kwa mara mh Polepole ameona sana zile vid za rc vs dc wakirushiana maneno.
Aitoshi naamini badomalengo yetu n maendeleo aijalishi mb n mpinzani mh gambo amekuwa akipambana sana na mh lema bila aibu hata kwenye mambo yanayohusu maendeleo.
Mh polepole niseme moja jambo kama mb atafanikkiwa kuleta wafadhili kuendeleza maendeleo ya mkoa tumuunge mkono tusiingize siasa kwenyw maendeleo
Mh Gambo niseme mlimlea sana mlimwacha akawa kama gugu la Misebo hata uwezi kumshauri.
Mh kaka polepole nafurahi kusikia uamuzi wa mh raisi niseme jambo moja msisubiri harufu zitoke mkiona mtu anaua chama mwondoen mapema tu.
Leo hii Arusha wanakula Bia bar zote asbh hii kama. Amwamini piteni na wanasherekea kuondka kwa Gambo hiii ni mbaya.
Msisubiri mtu akafikia level hii hasa RC anaemwakilisha mh raisi aipendezi.
Niombe muwe mnaratiba ya kupita kila. Mkoa kuangalia. Maendeleo na mahusiano ya chama. Na viongozi muweze kukilinda chama chetu palw. Mnapoona shida msichoke kumshauri mh raisi tule hapana tuondolee