YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Wapiga kura wengi ni watu wa kawaida wanyonge sio wakaa maeneo ya uzunguni, katikati ya miji na maeneo ya wenye nazo na wenye mavyeo
Rais Magufuli toka ashike strategy yake imekuwa kupeleka maendeleo kwa wapiga kura watu wa kawaida walio wengi
Baadhi ya Makubwa aliyowafanyia watu wa kawaida Ni haya
Mosi, Elimu bure kwa watoto wa watu wa kawaida kutoka msingi Hadi secondary
Pili, barabara nzuri kwenye maeneo ya watu wa kawaida mijini na vijijini.Mibarabara mizuri haikuweko mitaani uswahilini.Sasa hivi mitaa mingi uswahilini Ina barabara za uhakika Hadi taa za barabarani mfano Ni uswahilini dar es salaam
Tatu, vituo vya afya vyenye majengo ya uhakika na huduma za hali juu na upatikanaji wa madawa
Nne, Ni miradi ya maii ya uhakika kila mkoa.
Tano, upatikanaji kirahisi na uhakika wa huduma ya umeme mijini na vijijini usiokatika katika
Sita, uwajibikaji wa watendaji was seikali kwa watu wa kawaida. Kabla Wafanyakazi Serikalini walikuwa wakijiona miungu watu kuhudumia mtu wa kawaida walikuwa na nyodo Sasa hivi hamna nyodo mtu hata aende na suruali imekatika matakoni kea umaskini akienda ofisi ya serikali anahudumiwa Kama mfalme
Saba, kutoweka lockdown kwa sababu ya Corona Kama nchi zingine ili wananchi wapate rikizi zao na kugundua dawa ya kujifukiza kuwanusuru
Haya ni baadhi yako mengi.
Rais Magufuli apewe kura zote kipindi chake Cha pili
Rais Magufuli toka ashike strategy yake imekuwa kupeleka maendeleo kwa wapiga kura watu wa kawaida walio wengi
Baadhi ya Makubwa aliyowafanyia watu wa kawaida Ni haya
Mosi, Elimu bure kwa watoto wa watu wa kawaida kutoka msingi Hadi secondary
Pili, barabara nzuri kwenye maeneo ya watu wa kawaida mijini na vijijini.Mibarabara mizuri haikuweko mitaani uswahilini.Sasa hivi mitaa mingi uswahilini Ina barabara za uhakika Hadi taa za barabarani mfano Ni uswahilini dar es salaam
Tatu, vituo vya afya vyenye majengo ya uhakika na huduma za hali juu na upatikanaji wa madawa
Nne, Ni miradi ya maii ya uhakika kila mkoa.
Tano, upatikanaji kirahisi na uhakika wa huduma ya umeme mijini na vijijini usiokatika katika
Sita, uwajibikaji wa watendaji was seikali kwa watu wa kawaida. Kabla Wafanyakazi Serikalini walikuwa wakijiona miungu watu kuhudumia mtu wa kawaida walikuwa na nyodo Sasa hivi hamna nyodo mtu hata aende na suruali imekatika matakoni kea umaskini akienda ofisi ya serikali anahudumiwa Kama mfalme
Saba, kutoweka lockdown kwa sababu ya Corona Kama nchi zingine ili wananchi wapate rikizi zao na kugundua dawa ya kujifukiza kuwanusuru
Haya ni baadhi yako mengi.
Rais Magufuli apewe kura zote kipindi chake Cha pili