Moja kwa moja kwako kwenye mada.
Hatimaye ninakundikia wewe ushauri huu wa bure nikifahamu fika kuwa hujapungukiwa na washauri, na kuwa uko nao washauri walio mahiri kabisa, wenye kulipwa vilivyo kutokana na kazi hiyo.
Hata hivyo kumbuka mheshimiwa, Goliath lilikuwa jitu la kutisha (lenye...