Mheshimiwa Rais unalipa mishahara bure Kuna watu hawafanyi kazi

kasanga70

JF-Expert Member
Oct 19, 2015
212
489
Mheshimiwa Rais naomba nikushauri Jambo! Kutokana na keki ya taifa kuwa ndogo na kugawanwa kwa watu wachache tukianza na watumishi wa umma, majeshi, nk

Ninapendekeza iundwe sheria watanzania tuwe tuna access ya kufanya kazi miaka 15 tu baada ya hapo mtu anachukua pension yake anaondoka. Hili litaondoa utegaji kazi na mazoea ya kutotoa huduma kwa watumishi wengi ambao wanalipwa mishahara buree lkn hawafanyi kazi.pia litatoa fursa za ajira kwa watanzania wengine.

Kuna taasisi nyingi mfano psssf, baadhi ya ofisi za tra, halmashauri mbali mbali nk. Wanakera Sana sana unaandika barua Leo unapita mwaka hujajibiwa na watu wanalipwa mishahara. Hili halijakaa sawa naomba kuwasilisha.

Wadau mnasemaje??
 
Kifupi nahisi kunashida kubwa kwenye baadhi ya taasisi kwa sasa!
Unachosema uko sahihi.

Nibora mfanyakazi wa uma angekuwa anapewa mkataba wa miaka hata mitano mitano nakuwekewa kiwango cha kutoa huduma kama ilivyo kwa MAHAKAMA kwa sasa!
Ndio maana mahakama sasa hivi iko vizuri! Shida zilizikuwa zinaperekwa na mawakiri kupaki kesi! Sasa hivi hazipo, vinginevyo utamuharibia hakim.
Taasisi za serikani kuna shida kubwa sana saivi.

Niliwahi kuliwekea UZI humu jf nanikataja mpaka na wizara , na baadhi ya wizara hizo leo zimetuhumiwa na wananchi (wizara ya maji) huko kilimanjaro wananchi wamelia kubambikizwa billi.

Na leo naibu waziri wa maji nimemsikia kaja na matamko ya kutokata kata maji japo jf waliindoa nyuzi yangu humu jf.
Ilibidi nipige simu kwa katibu mkuu kiongozi .
Naamini atakuwa kalifanyia kazi ndio màana naibu waziri kajitokeza nahuku kimara baruti watu wakapata maji.
Jf waache mijadara ya kijamii watu tujadiri cyo habari za chadema za kutukana serikari ndo ziachwe zikitrendi hum jf
 
Mfano kuhusu swala la umeme! Kila mvua ikinyesha kwa dar es salaam mjue mtakoswa umeme!
Hii nayo haijakaa sawa! Maana mvua inaponyesha ndio watu wabaya wanatumia mda huo kupita ktk majumba ya watu! Wanaiba kuku kufungua tail za gari na kunyonya mafuta kwenye magari makubwa wakitumia giza.

Lakini ukiweka uzi huo unaondolewa, ila ukiweka wakumtukana mh raisi wengine wanamuita jiwe! Aaaa hapo utakaa jf hata mwezi
 
Masanjaone,
Yaani Kuna wakati unaenda kwenye ofisi za serikali ni Kama unaenda kuwachokoza wahudumu. Ukimuuliza hiki anakujibu mbovu! Ukipiga simu hawapokei akijua nimwananchi wa kawaida anakata! Ni shida sana Sana halafu Kuna watu wanatafuta kazi na wako tayari kufanya kazi kwa bidii aisee
 
tapatalk_jpeg_1584989237703.jpeg
 
Mheshimiwa Rais naomba nikushauri Jambo! Kutokana na keki ya taifa kuwa ndogo na kugawanwa kwa watu wachache tukianza na watumishi wa umma, majeshi, nk

Ninapendekeza iundwe sheria watanzania tuwe tuna access ya kufanya kazi miaka 15 tu baada ya hapo mtu anachukua pension yake anaondoka. Hili litaondoa utegaji kazi na mazoea ya kutotoa huduma kwa watumishi wengi ambao wanalipwa mishahara buree lkn hawafanyi kazi.pia litatoa fursa za ajira kwa watanzania wengine.

Kuna taasisi nyingi mfano psssf, baadhi ya ofisi za tra, halmashauri mbali mbali nk. Wanakera Sana sana unaandika barua Leo unapita mwaka hujajibiwa na watu wanalipwa mishahara. Hili halijakaa sawa naomba kuwasilisha.

Wadau mnasemaje??
Unatakiwa uondoke na corona Kwa roho yako hiyo mbaya na wivu. Mpuuzi kabisa. Hiyo miaka 15 watoto wako uliowazaa watakuwa wameanza kujitegemea. Yaani JF siku hizi Una watu wa hovyo sana. haya mawazo peleka huko insta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi nahisi kunashida kubwa kwenye baadhi ya taasisi kwa sasa!
Unachosema uko sahihi.

Nibora mfanyakazi wa uma angekuwa anapewa mkataba wa miaka hata mitano mitano nakuwekewa kiwango cha kutoa huduma kama ilivyo kwa MAHAKAMA kwa sasa!
Ndio maana mahakama sasa hivi iko vizuri! Shida zilizikuwa zinaperekwa na mawakiri kupaki kesi! Sasa hivi hazipo, vinginevyo utamuharibia hakim.
Taasisi za serikani kuna shida kubwa sana saivi.

Niliwahi kuliwekea UZI humu jf nanikataja mpaka na wizara , na baadhi ya wizara hizo leo zimetuhumiwa na wananchi (wizara ya maji) huko kilimanjaro wananchi wamelia kubambikizwa billi.

Na leo naibu waziri wa maji nimemsikia kaja na matamko ya kutokata kata maji japo jf waliindoa nyuzi yangu humu jf.
Ilibidi nipige simu kwa katibu mkuu kiongozi .
Naamini atakuwa kalifanyia kazi ndio màana naibu waziri kajitokeza nahuku kimara baruti watu wakapata maji.
Jf waache mijadara ya kijamii watu tujadiri cyo habari za chadema za kutukana serikari ndo ziachwe zikitrendi hum jf

Labda katibu mkuu kiongozi wa kata ya kibororoni.
 
Mnao msapoti huyu kenge na nyie kenge.

Lete takwimu zikionesha kuwa watumishi hawafanyi kazi,

Kibarua chako kimoja kilichokosewa address ndiko kisababishe Serikali iamue ujinga huo?

Peleka ujinga wako chooni

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sawa kabisa mkuu,yaani mkataba wa miaka 15 ni muhimu sana sana kwa maslahi mapana ya taifa.

Inshort nakuunga mkono mama Kenge.
 
Mfano kuhusu swala la umeme! Kila mvua ikinyesha kwa dar es salaam mjue mtakoswa umeme!
Hii nayo haijakaa sawa! Maana mvua inaponyesha ndio watu wabaya wanatumia mda huo kupita ktk majumba ya watu! Wanaiba kuku kufungua tail za gari na kunyonya mafuta kwenye magari makubwa wakitumia giza.

Lakini ukiweka uzi huo unaondolewa, ila ukiweka wakumtukana mh raisi wengine wanamuita jiwe! Aaaa hapo utakaa jf hata mwezi

Kwani si alisema yeye mwenyewe ni jiwe?
 
Mnao msapoti huyu kenge na nyie kenge.

Lete takwimu zikionesha kuwa watumishi hawafanyi kazi,

Kibarua chako kimoja kilichokosewa address ndiko kisababishe Serikali iamue ujinga huo?

Peleka ujinga wako chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu za Nini sasa hapa hii ndio mijitu inayotembeaga na mihirizi makazini likikalipiwa tuu kwa mganga swine wewee
 
Back
Top Bottom