Wakati Rais Magufuli akihimiza watu wachape kazi, wengine wameanza kupunguza mlundikano makazini

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu.

Mamlaka zinazohusika na maeneo ya Dar es Salaam ni budi wachukue hatua za haraka maana hali si ya kawaida.

Ninatoa taarifa ambazo mimi binafsi nimeshuhudia, kama mnahisi natoa au kutisha watu basi potezeeni!
 
Huyo Dereva na mwenzie mwenda kasi nadhani kwenye heads zao kuna sockets zinazidisha Moto kidogo.
 
Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu.

Mamlaka zinazohusika na maeneo ya Dar es Salaam ni budi wachukue hatua za haraka maana hali si ya kawaida.

Ninatoa taarifa ambazo mimi binafsi nimeshuhudia, kama mnahisi natoa au kutisha watu basi potezeeni!
Hofu umfanya binadamu kutenda kwa ufanisi na kuleta mabadiliko chanya. Bahati mbaya wengi wanaiogopa hofu kwa sababu ya mabadiliko hayo na kwa sababu binafsi kwani zinaweza kuwaondoa katika hali waliyopo!

Ni ajabu kwamba dunia nzima wanatoa taarifa za muda za walioambukizwa/waliopona/waliokufa sisi hapa tumeamua kuuchuna. Nia ni kutotengeneza hofu kwa watu wetu! Je hii inajenga 'confidence' kwa watu wetu na pia jumuiya ya kimataifa jinsi tunavyoshughulikia majanga. Tufikirie kesho kwa tunavyotenda leo.
 
Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu.

Mamlaka zinazohusika na maeneo ya Dar es Salaam ni budi wachukue hatua za haraka maana hali si ya kawaida.

Ninatoa taarifa ambazo mimi binafsi nimeshuhudia, kama mnahisi natoa au kutisha watu basi potezeeni!
Hao wanatakiwa wapimwe na kuwekwa karantini mara moja. Duh!
 
Serengeti breweries pia makampuni(subcontractors) wote wamesimamishwa mpaka hali itakapotengemaa ndio warudi kuendelea nakazi.
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Elitwege , Sijui unavuta nini ?!
Mleta mada anazungumzia hali mbaya makazini . Wewe unaleta mashambulizi binafsi kwa watu ?! Hizi shule za kata zimeingiza magarasa sokoni . Huelewi mada ni nini, wewe akili iko Cdm !!!

Mzazi wako aonewe huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu.

Mamlaka zinazohusika na maeneo ya Dar es Salaam ni budi wachukue hatua za haraka maana hali si ya kawaida.

Ninatoa taarifa ambazo mimi binafsi nimeshuhudia, kama mnahisi natoa au kutisha watu basi potezeeni!
Vipi wewe umeugua? Au unapenda tu usikie wenzio wameugua corona?
 
Hofu umfanya binadamu kutenda kwa ufanisi na kuleta mabadiliko chanya. Bahati mbaya wengi wanaiogopa hofu kwa sababu ya mabadiliko hayo na kwa sababu binafsi kwani zinaweza kuwaondoa katika hali waliyopo!

Ni ajabu kwamba dunia nzima wanatoa taarifa za muda za walioambukizwa/waliopona/waliokufa sisi hapa tumeamua kuuchuna. Nia ni kutotengeneza hofu kwa watu wetu! Je hii inajenga 'confidence' kwa watu wetu na pia jumuiya ya kimataifa jinsi tunavyoshughulikia majanga. Tufikirie kesho kwa tunavyotenda leo.
Toa taarifa kwa familia yako!
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zombie katika ubora wako.Its completely out of sense
 
Hofu umfanya binadamu kutenda kwa ufanisi na kuleta mabadiliko chanya. Bahati mbaya wengi wanaiogopa hofu kwa sababu ya mabadiliko hayo na kwa sababu binafsi kwani zinaweza kuwaondoa katika hali waliyopo!

Ni ajabu kwamba dunia nzima wanatoa taarifa za muda za walioambukizwa/waliopona/waliokufa sisi hapa tumeamua kuuchuna. Nia ni kutotengeneza hofu kwa watu wetu! Je hii inajenga 'confidence' kwa watu wetu na pia jumuiya ya kimataifa jinsi tunavyoshughulikia majanga. Tufikirie kesho kwa tunavyotenda leo.
Hili Jambo huwa nalitafakari Sana. Si Ni aheri mtu apate hofu ili aongeze umakini wa kujikinga kuliko kudanganyana ili watu wajione majasiri na wachape kazi bila kujikinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom