Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Jumbe amekuwa mgombea wa 30 katika mbio hizo za Urais.
Vile vile Mussa ni Mkurugenzi katika Idara ya Maendeleo ya Uvuvi katika Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi
Vile vile Mussa ni Mkurugenzi katika Idara ya Maendeleo ya Uvuvi katika Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi