Malick M. Malick
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 647
- 304
Ukweli usemwe tu. Kiutendaji, uwezo binafsi, ubunifu, uchapakazi, uzalendo ni vitu vinavyomuuza Rais Magufuli tokea awe mwanasiasa -- mbunge, waziri na sasa ni Rais
Rais Magufuli hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake katika mambo hayo. Akiwa waziri katika wizara mbalimbali uwezo wake ulimuuza, hakuhitaji kuita vyombo vya habari na kusema yeye ni nani na anafanya nini, bali kazi zake na uwajibikaji vilimuuza.
Ni mtu asieyumbishwa, mwenye msimamo. Na huyu Watanzania walimuhitaji ndio maana wenye macho ya kizalendo, wanyonge wanaoipenda nchi yao wanatamani Rais Magufuli aongezewe muda sababu anajibu kero zao na kuzitatua kwa wakati.
Ukweli usemwe. Leo hata Watanzania tukiamua kujifanya hatuoni yakifayofanywa na Rais Magufuli ndani ya miaka miaka mitano, malaika watatujia ndotoni na kutuonesha yaliyofanywa na Rais Magufuli.
Tukijifanya hatuoni, tukipita katika flyover zitatukumbusha hii ni kazi ya Magufuli.
Tukijifanya hatusikii, zahanati, vituo vya afya kila kona, hospital za wilaya , hospital za kanda zitatuambia bila Magu, leo usingepata matibabu karibu na nyumbani kwako.
Tukijifanya hatusikii Watanzania wanyonge watamsemea na kutukumbusha Elimu bure imefanya watoto wengi wa masikini wawe shuleni.
Tukijifanya hatuoni ,wamachinga watatukumbusha Rais magufuli amerudisha thamani Yao na kuwafanya wafurahie nchi yao bila bugudha.
Rais Magufuli ni Baba lao
Kazi zilizofanywa na Rais Magufuli katika Taifa hili hazina mfano.
Tumpe MITANO TENA KWA KISHINDO.
WATANZANIA TUNAMPENDA Rais wetu ,Jembe letu ,anatupeleka katika Nchi ya Uchumi wa Kati , watanzania tuchape kazi
#Maliki,Malick
Rais Magufuli hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake katika mambo hayo. Akiwa waziri katika wizara mbalimbali uwezo wake ulimuuza, hakuhitaji kuita vyombo vya habari na kusema yeye ni nani na anafanya nini, bali kazi zake na uwajibikaji vilimuuza.
Ni mtu asieyumbishwa, mwenye msimamo. Na huyu Watanzania walimuhitaji ndio maana wenye macho ya kizalendo, wanyonge wanaoipenda nchi yao wanatamani Rais Magufuli aongezewe muda sababu anajibu kero zao na kuzitatua kwa wakati.
Ukweli usemwe. Leo hata Watanzania tukiamua kujifanya hatuoni yakifayofanywa na Rais Magufuli ndani ya miaka miaka mitano, malaika watatujia ndotoni na kutuonesha yaliyofanywa na Rais Magufuli.
Tukijifanya hatuoni, tukipita katika flyover zitatukumbusha hii ni kazi ya Magufuli.
Tukijifanya hatusikii, zahanati, vituo vya afya kila kona, hospital za wilaya , hospital za kanda zitatuambia bila Magu, leo usingepata matibabu karibu na nyumbani kwako.
Tukijifanya hatusikii Watanzania wanyonge watamsemea na kutukumbusha Elimu bure imefanya watoto wengi wa masikini wawe shuleni.
Tukijifanya hatuoni ,wamachinga watatukumbusha Rais magufuli amerudisha thamani Yao na kuwafanya wafurahie nchi yao bila bugudha.
Rais Magufuli ni Baba lao
Kazi zilizofanywa na Rais Magufuli katika Taifa hili hazina mfano.
Tumpe MITANO TENA KWA KISHINDO.
WATANZANIA TUNAMPENDA Rais wetu ,Jembe letu ,anatupeleka katika Nchi ya Uchumi wa Kati , watanzania tuchape kazi
#Maliki,Malick