radio

Radio is the technology of signaling and communicating using radio waves. Radio waves are electromagnetic waves of frequency between 30 hertz (Hz) and 300 gigahertz (GHz). They are generated by an electronic device called a transmitter connected to an antenna which radiates the waves, and received by a radio receiver connected to another antenna. Radio is very widely used in modern technology, in radio communication, radar, radio navigation, remote control, remote sensing and other applications.
In radio communication, used in radio and television broadcasting, cell phones, two-way radios, wireless networking and satellite communication among numerous other uses, radio waves are used to carry information across space from a transmitter to a receiver, by modulating the radio signal (impressing an information signal on the radio wave by varying some aspect of the wave) in the transmitter. In radar, used to locate and track objects like aircraft, ships, spacecraft and missiles, a beam of radio waves emitted by a radar transmitter reflects off the target object, and the reflected waves reveal the object's location. In radio navigation systems such as GPS and VOR, a mobile receiver receives radio signals from navigational radio beacons whose position is known, and by precisely measuring the arrival time of the radio waves the receiver can calculate its position on Earth. In wireless radio remote control devices like drones, garage door openers, and keyless entry systems, radio signals transmitted from a controller device control the actions of a remote device.
Applications of radio waves which do not involve transmitting the waves significant distances, such as RF heating used in industrial processes and microwave ovens, and medical uses such as diathermy and MRI machines, are not usually called radio. The noun radio is also used to mean a broadcast radio receiver.
Radio waves were first identified and studied by German physicist Heinrich Hertz in 1886. The first practical radio transmitters and receivers were developed around 1895-6 by Italian Guglielmo Marconi, and radio began to be used commercially around 1900. To prevent interference between users, the emission of radio waves is strictly regulated by law, coordinated by an international body called the International Telecommunications Union (ITU), which allocates frequency bands in the radio spectrum for different uses.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Radio za gari touchscreen Inch 7

    Call/whatsapp 0656 666 662 Radio mpya ya gari touchscreen inch 7 -inasupport Bluetooth -inasupport mirrorlink -inasupport usb,memorycard -inaplay music na video kwenye flash -ina support channels zote za fm -inakuja na reverse camera -radio ina warranty -bei 140,000 tu pamoja na kufungiwa BURE...
  2. Fohadi

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kipindi bora cha asubuhi kwenye radio?

    Mara kwa mara nikiamka asubuhi huwa napenda kusikiliza radio vipindi vya asubuhi. Asilimia kubwa ya vipindi vya asubuhi vinafanana kimaudhui hapa nitachukua sample ya vipindi vitatu. JOTO LA ASUBUHI ya EFM, POWER BREAKFAST ya CLOUDS na GOOD MORNING ya WASAFI FM. Vipindi vyote vinaundwa na...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Vituo vya Television na Radio vinachangia mimba za utotoni nchini

    Haingii akilini kusikia eti chombo cha habari kama Radio (hasa za FM) na television (hasa za vijana) vinaendesha kampeni ya kuzuia ngono na mimba kwa vijana wakati huohuo vinahamasisha vijana kufanya kijiingiza kwenye mapenzi. Imefahamika kuwa watoto wengi huwa hawasikilizi na kuangalia Radio...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwa tuliomsikiliza aliyekuwa Kocha wa Makipa Yanga Mburundi Niyonkuru katika Kipindi cha Kipenga Extra EA Radio leo, Mchawi wa Yanga SC hajajulikana?

    "Ndugu Mwandishi kuna Kiongozi Mmoja Yanga SC sitomtaja Jina kwa sasa ndiyo Sumu Kubwa ndani ya Timu na Wanayanga wasipokuwa makini nae atakuja Kuwaumiza zaidi ya hapa na Kujikuta pabaya" "Na ni Kiongozi huyo huyo pia amekuwa na tabia ya kuja Kwangu Kocha wa Makipa na mpaka kwenda kwa Kocha...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

    Ni taarifa ambayo bado ya moto moto kabisa ya kama dakika 15 tu zilizopita Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini kwa sasa uvumilivu umetushinda, Kwanini kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo ya uongo? Unaitumia mara kadhaa @wasafifm kuelezea migogoro hewa kuhusu Simba na kutaka kuichafua...
  6. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bluetooth Mp3 player zinauzwa hapa, badili radio yako kuwa ya kusasa zaidi

    Kama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa. Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio zinapiga sana lakini kama ulinunua kitambo utakuwa unamiss flash na Bluetooth. Subwoofer za zamani zote...
  7. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA YOUTUBE INAITWA DVJ NASMILETZ https://www.youtube.com/@NASMILETZ?sub_confirmation=1 KISHA SUBSCRIBE...
  8. Nkobe

    JamiiForums Tanzania Radio Free wakatisha matangazo ya BBC baada ya Padre kufunguka ukweli kuhusu Corona

    Katika hali ambayo isiyo ya kawaida kwa sisi wasikilizaji wa BBC kipindi cha jioni. Radio Free wamekata ghafla matangazo ya BBC wakati Padre akielezea juu ya tahadhari ya Corona. Katika mahojiano hayo, Padre alisema kuwa kipindi cha nyuma wao kama viongozi wa dini walikuwa wakiitwa mara chache...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa MB kwa App za Radio

    Ningependa kujuzwa au kufahamu ulaji wa MB kwa App za Kusikiliza Radio Online
  10. N

    JamiiForums Tanzania Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    Kuna issue ya mchezaji Jonas mkude kusimamishwa na team yake ya simba kwa utovu wa nidhamu, sababu haijatajwa hadi leo. Lakini kama kawaida ya mambo ya mtandao kuna speculations ikawa inasema MKUDE ALIMTONGOZA CEO WA SIMBA aitwaye Barbra Gonzalez Huwezi epuka maneno kama hayo mtandaoni lakini...
  11. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Haya unamkumbuka nani, katika vipindi vya watoto RFA na RADIO ONE

    Ni anko nani unamkumbuka? Mimi sikumbuki anko yoyote. Ni anti gani unamkumbuka? Hakika namkumbuka Anti Edita. 😀
  12. NairobiWalker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akili kubwa: 17 year old boy in Kenya starts Radio station in abandoned kiosk.

  13. A

    JamiiForums Tanzania Haya wale wasikilizaji wa radio enzi hizo tukatane hapa tukumbushane baadhi ya vipindi

    Habari wana jukwaa.Leo nimeamua kulipanda jukwaa kwa kueleza na kukumbusha mengi wakati radio zikiwa zinavuma sana na nafahamu wengi tulikuwa wasikilizaji wazuri sana wa vipindi mbalimbali vya radio. Binafsi mimi mi nililua mrahibu sana wa kusikiliza radio hilo lilipelekea baba yangu mzazi kuwa...
  14. IZENGOB

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nataka kufanya biashara ya Radio na TV kutoka Afrika ya Kusini

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nina ndugu yangu anafanya biashara flani kutoka SAUZI sasa nataka kumuomba nimpe mtaji wa kuanzia 1M ili nimuagize TV na Redio kwa ajili ya biashara. Je SAUZI ni sehemu sahihi kwa biashara hiyo? Kama kuna anayefanya anaweza kunipa dondoo za bei n.k...
  15. harakati za siri

    JamiiForums Tanzania Majina ya radio za Dini Mbeya

    Wapendwa wana JamiiForums, Naomba kujulishwa radio za ki Kristo zilizoko Mbeya, ni ngapi? Na majina yake tafadhali.
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rungu la TCRA lawashukia Wasafi Tv, Clouds FM, Carry Mastory, Radio one na RFA kwa kurusha maudhui yaliyo kinyume na Sheria

    TCRA imetoa onyo kali na kuziweka chini ya uangalizi wa miezi mitatu Radio Free Africa na Radio One Stereo kwa kukiuka kanuni za utangazaji viliporusha kipindi cha Amka na BBC ambapo Tundu Lissu aliituhumu serikali kuwazuia viongozi wa Chadema kumuaga Hayati Rais Benjamin Mkapa. Wasafi Media...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

    Hii ndio taarifa mpya inayozagaa mitandaoni kwa sasa. wote mnakaribishwa === Mgombea wa Urais, kupitia Chama cha Upinzania CHADEMA Tundu Lissu, alivyohojiwa na Citizen Online Radio Station, kutoka Nairobi Kenyan Tundu Lissu aongea mengi kuhusu mustakabali wa Tanzania, ambae anagombania...
  18. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wachangiaji wa DW wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto kali kwa Rais Magufuli

    Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli. Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango...
  19. Suley2019

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mtangazaji Jacob Tesha atinga Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kuwania ubunge Jimbo la Moshi mjini

    Mgombea Jacob Tesha akipokea fomu za kugombea ubunge kutoka kwa Kaimu Katibu wa CCM, Wilaya ya Moshi Ndugu Nada Orry. Mtangazaji na Mwandishi wa Habari nguli nchini Ndugu Jacob Tesha leo ametinga Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kuwania ubunge Jimbo la Moshi mjini. Mgombea...
  20. Savimbi Jr

    JamiiForums Tanzania Where is Jr Junior wa East Africa Radio?

    Habari wadau wa JF, Aisee kitambo sana sijamsikia mtangazaji mwenye vibe plate number D kwa hewa,huwa nilikuwa namsikiliza kwenye planet bongo au kwenye The Cruz ila kwa Fasi zote zimsomi kabisa au dablyu wachafu washampitia na upepo wa kisuri suri? Nawasilisha.
Back
Top Bottom