akilindefu
Member
- Sep 5, 2020
- 69
- 63
Habari wana jukwaa.Leo nimeamua kulipanda jukwaa kwa kueleza na kukumbusha mengi wakati radio zikiwa zinavuma sana na nafahamu wengi tulikuwa wasikilizaji wazuri sana wa vipindi mbalimbali vya radio.
Binafsi mimi mi nililua mrahibu sana wa kusikiliza radio hilo lilipelekea baba yangu mzazi kuwa na tabia ya kunizawadia redio pale nlipokuwa nafanya vizuri kwenye mitihani ya shule kwangu mimi kuna watangazaji nawamisi sana baadhi yao ni Fredrick bundala(RFA) JUMA NKAMIA(TBC) JUMA BARAGAZA(RFA) na wengine wengi.niseme tu hawa ni kioo kwangu kufikia mpaka na mimi nikawa mtangazaji wa radio.
Haya na wewe tupe yako unayoyakumbuka kutokana na usikilizaji wa radio.Naomba kuwasilisha
Binafsi mimi mi nililua mrahibu sana wa kusikiliza radio hilo lilipelekea baba yangu mzazi kuwa na tabia ya kunizawadia redio pale nlipokuwa nafanya vizuri kwenye mitihani ya shule kwangu mimi kuna watangazaji nawamisi sana baadhi yao ni Fredrick bundala(RFA) JUMA NKAMIA(TBC) JUMA BARAGAZA(RFA) na wengine wengi.niseme tu hawa ni kioo kwangu kufikia mpaka na mimi nikawa mtangazaji wa radio.
Haya na wewe tupe yako unayoyakumbuka kutokana na usikilizaji wa radio.Naomba kuwasilisha