radio

Radio is the technology of signaling and communicating using radio waves. Radio waves are electromagnetic waves of frequency between 30 hertz (Hz) and 300 gigahertz (GHz). They are generated by an electronic device called a transmitter connected to an antenna which radiates the waves, and received by a radio receiver connected to another antenna. Radio is very widely used in modern technology, in radio communication, radar, radio navigation, remote control, remote sensing and other applications.
In radio communication, used in radio and television broadcasting, cell phones, two-way radios, wireless networking and satellite communication among numerous other uses, radio waves are used to carry information across space from a transmitter to a receiver, by modulating the radio signal (impressing an information signal on the radio wave by varying some aspect of the wave) in the transmitter. In radar, used to locate and track objects like aircraft, ships, spacecraft and missiles, a beam of radio waves emitted by a radar transmitter reflects off the target object, and the reflected waves reveal the object's location. In radio navigation systems such as GPS and VOR, a mobile receiver receives radio signals from navigational radio beacons whose position is known, and by precisely measuring the arrival time of the radio waves the receiver can calculate its position on Earth. In wireless radio remote control devices like drones, garage door openers, and keyless entry systems, radio signals transmitted from a controller device control the actions of a remote device.
Applications of radio waves which do not involve transmitting the waves significant distances, such as RF heating used in industrial processes and microwave ovens, and medical uses such as diathermy and MRI machines, are not usually called radio. The noun radio is also used to mean a broadcast radio receiver.
Radio waves were first identified and studied by German physicist Heinrich Hertz in 1886. The first practical radio transmitters and receivers were developed around 1895-6 by Italian Guglielmo Marconi, and radio began to be used commercially around 1900. To prevent interference between users, the emission of radio waves is strictly regulated by law, coordinated by an international body called the International Telecommunications Union (ITU), which allocates frequency bands in the radio spectrum for different uses.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Fundi Simu, Radio na TV nipo Dar es Salaam

    Habari za kazi wakuu, Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji huduma ya kutengenezewa kifaa/vifaa vyako naomba unipe hiyo kazi nitakufuata hapo ulipo hivyo pia...
  2. Leak

    Namuomba msamaha Haji Manara kwa kumpinga aliposema waandishi wengi wa Tanzania ni "takataka" leo EFM radio wamethibitisha

    Wasalaam, Haji Manara aliwakera wengi sana alipo diriki kuwaita waandishi wa habari hasa za michezo kuwa ni "takataka" kwakweli ni maneno yaliyo fikirisha sana wengi na wengi walioneshwa kukerwa sana na kitendo kile cha udhalilishaji kilicho fanywa na haji manara na wengi walitegemea hatua...
  3. GENTAMYCINE

    Farhia Middle wa Radio One amehuzunika sana Abdallah Mwaipaya kuwa DC

    Kuna Kipindi nakumbuka ( nikiwa kama Msikilizaji Balozi na Mwandamizi wa Kipindi chao nikipendacho cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One kila Jumapili Saa 1 na Nusu Asubuhi hadi Saa 4 Kamili Asubuhi ) aliwahi 'Kufiwa' na Dada yake tena wa toka nitoke ila wala hakuwa katika Majonzi na alisahau...
  4. N

    Duh, kipindi cha michezo east africa radio ni vurugu tupu

    nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake vuluvuluuuuuuuuuu
  5. M

    Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

    Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini? Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa...
  6. B

    TAKUKURU, Mtumishi wa Umma anaponunua kipindi kwenye radio au TV kujadili masuala ya utendaji wa Serikali ni rushwa au si rushwa?

    Awamu ya sita inalo Jambo la kutafakari kuhusu mmomonyoko wa maadili unaoendelea Nchini. Tumewalea watu wachache wameafika mahali wananguvu kuliko Viongozi wa kitaifa. Tunaweza tukadhani tunapambana na wapinzani kumbe tunapambana kuuwa usawa katika jamii. Tuna vyombo vya dola ambavyo kwa kiasi...
  7. Tunzo

    Naona zile Radio zinazotangaza mpira zinatangaza kitabu sasa hivi,

    Hii ni fedheha, changamoto ipo, Hii haijawahi tokea, pole wa mashabiki na wote mlioenda uwanjani, poleni kwa kupasuka
  8. J

    Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

    Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake. Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa. Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye...
  9. kaburu mdogo

    Ni wapi nitapata hii Radio ya hii kampuni?

    Nilinunua radio ( home cinema) zamani kidogo kwenye mwaka 2007/9 kupitia ndugu yangu aliyekuwepo Africa ya kusini na kuileta hapa nyumbani. Bahati mbaya vibaka walivunja na kuiba hiyo radio na kuniachia subwoofer yenye namba za udahili subwoofer model micro 1500dssw. Nilikuwa nahitaji radio...
  10. Mtalebani Mweupe

    Uanzishaji wa kituo cha Radio

    Habari Wakuu, Ninaomba msaada kwa wenye uelewa kwenye Masuala ya Ufunguzi wa kituo cha Radio. Nina ndoto ya siku nyingi ya kuweza kumiliki kituo cha Radio ila kwa sasa ninataka nijipange ili itapofika Mwishoni mwa mwaka 2022 kama mungu akinijaalia uhai niwe nishafungua hii Radio Station...
  11. N

    Msaada: Radio Sony genezi mhc-gtr55 inasoma "please wait" au "reading" tu nikiweka flash drive. Nini tatizo wakuu?

    Habari wakuu, Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea. Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka baadae ikawa inasoma "please wait" au "reading" kwa muda mrefu hata siku nzima. Tatizo laweza kuwa nini...
  12. Yericko Nyerere

    Audio: Mahojiano yangu ya Radio Inland, Dunia yetu, Matarajio ya hotuba ya Rais kesho

    Mahojiano yangu ya Radio Inland, Idhaa ya Kiswahili kuhusu Hotuba ya Rais Kesho na matarajio. Na Yericko Nyerere
  13. alphonce.NET

    Natoa huduma ya Radio streaming service

    Kwa wamiliki wa vituo vya Radio wanaohitaji Live Radio streaming Ninatoa Radio streaming service @ 128Kbps kwa Sh 100,000 tu kwa mwezi *Radio itapatikana kwenye Tune-in, streema.com na embeded player tunaweka kwenye website ya radio yako *Ikiwa huna website nina design na kusajili website kwa...
  14. sinza pazuri

    P-Funk Majani umeteleza kumshambulia binti yako kwenye radio, wewe ni sehemu ya tatizo

    Majani anasema mtoto wake alimkataa, ila hasemi ilikuwaje wakafika hali hiyo. Majani anasema kwenye radio kuwa mtoto wake kazaliwa na mama asiyestahili. Majani anaitangazia dunia kwamba binti yake amelaanika. Kwa mtu mwenye hekma na utulivu wa akili utagundua Baba pia ana tatizo kubwa kuliko...
  15. Papaa Mobimba

    Redio ya Homeboyz yawasimamisha watangazaji wake baada ya kukashifu wanawake

    Homeboyz Radio has suspended two radio presenters and a DJ for two weeks in relation to comments they made that appeared to victim shame and justify sexual assault against women. Shaffie Weru, Neville and DJ Joe Mfalme, made the insensitive remarks on Wednesday when hosting the station’s...
  16. M

    INAUZWA Radio za gari touchscreen Inch 7

    Call/whatsapp 0656 666 662 Radio mpya ya gari touchscreen inch 7 -inasupport Bluetooth -inasupport mirrorlink -inasupport usb,memorycard -inaplay music na video kwenye flash -ina support channels zote za fm -inakuja na reverse camera -radio ina warranty -bei 140,000 tu pamoja na kufungiwa BURE...
  17. Fohadi

    Ni kipi kipindi bora cha asubuhi kwenye radio?

    Mara kwa mara nikiamka asubuhi huwa napenda kusikiliza radio vipindi vya asubuhi. Asilimia kubwa ya vipindi vya asubuhi vinafanana kimaudhui hapa nitachukua sample ya vipindi vitatu. JOTO LA ASUBUHI ya EFM, POWER BREAKFAST ya CLOUDS na GOOD MORNING ya WASAFI FM. Vipindi vyote vinaundwa na...
  18. kavulata

    Vituo vya Television na Radio vinachangia mimba za utotoni nchini

    Haingii akilini kusikia eti chombo cha habari kama Radio (hasa za FM) na television (hasa za vijana) vinaendesha kampeni ya kuzuia ngono na mimba kwa vijana wakati huohuo vinahamasisha vijana kufanya kijiingiza kwenye mapenzi. Imefahamika kuwa watoto wengi huwa hawasikilizi na kuangalia Radio...
  19. M

    Kwa tuliomsikiliza aliyekuwa Kocha wa Makipa Yanga Mburundi Niyonkuru katika Kipindi cha Kipenga Extra EA Radio leo, Mchawi wa Yanga SC hajajulikana?

    "Ndugu Mwandishi kuna Kiongozi Mmoja Yanga SC sitomtaja Jina kwa sasa ndiyo Sumu Kubwa ndani ya Timu na Wanayanga wasipokuwa makini nae atakuja Kuwaumiza zaidi ya hapa na Kujikuta pabaya" "Na ni Kiongozi huyo huyo pia amekuwa na tabia ya kuja Kwangu Kocha wa Makipa na mpaka kwenda kwa Kocha...
  20. M

    Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

    Ni taarifa ambayo bado ya moto moto kabisa ya kama dakika 15 tu zilizopita Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini kwa sasa uvumilivu umetushinda, Kwanini kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo ya uongo? Unaitumia mara kadhaa @wasafifm kuelezea migogoro hewa kuhusu Simba na kutaka kuichafua...
Back
Top Bottom