Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 180
- 380
Karata mlioicheza sasa itazaa matunda, ilikuwa ni ngumu kuiaminisha jumuiya ya kimataifa kuwa uchaguzi uliofanyika Tanzania mwaka huu uligubikwa na kasoro nyingi, ukizingatia waafrika wote waliokuja kuangalia na kuripoti ulivo kuwa walisema uko huru na haki.
Lakin sasa kwa hali inavoendelea madai yenu yataonekana yana msingi, kwanza MMEDHULUMIWA pili MNAZIBWA MIDOMO na dola ili msipaze sauti.
Matokeo yake tumeanza kuyaona kuanzia juzi balozi wa marekani kazungumza, baadae msemaji wa ofisi ya waziri wa mambo ya nje ya marekani katweet, na leo waziri Pompeo mwenyewe ka-tweet, vyombo vikubwa vimeripoti kama aljazeera na balozi kubwa kama Canada na wingereza zimeashiria kuguswa na kinachoendelea Tanzania.
Hii vita haiitaji nguvu japo ina maumivu, ukiweza kuivuta kumuiya ya kimataifa upande wako uko salama zaidi kwa kila hatua utakayochukua ndani ya nchi.
Komaeni mpaka mwisho kwaajili ya vizazi vijavyo.
Lakin sasa kwa hali inavoendelea madai yenu yataonekana yana msingi, kwanza MMEDHULUMIWA pili MNAZIBWA MIDOMO na dola ili msipaze sauti.
Matokeo yake tumeanza kuyaona kuanzia juzi balozi wa marekani kazungumza, baadae msemaji wa ofisi ya waziri wa mambo ya nje ya marekani katweet, na leo waziri Pompeo mwenyewe ka-tweet, vyombo vikubwa vimeripoti kama aljazeera na balozi kubwa kama Canada na wingereza zimeashiria kuguswa na kinachoendelea Tanzania.
Hii vita haiitaji nguvu japo ina maumivu, ukiweza kuivuta kumuiya ya kimataifa upande wako uko salama zaidi kwa kila hatua utakayochukua ndani ya nchi.
Komaeni mpaka mwisho kwaajili ya vizazi vijavyo.