Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema, amejisikia vibaya Yanga Sc walivyoifunga timu ya Usalama kwenye mchezo wa hivi karibuni
Amesema Jeshi la Polisi ndio wanaolinda usalama wa nchi sio Yanga Sc, hivyo ikitokea Usalama wamecheza na timu yoyote raia inapaswa washabikie Polisi kwa kuwa ndio wanaolinda usalama
Ameyasema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Arusha akiwaelezea hali ya usalama kwa Moka wa Arusha kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu
Aidha amewataka vijana kutojihusisha na shughuli za uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu kwa kuwa Jeshi la Polisi limejiandaa vizuri
Amesema Jeshi la Polisi ndio wanaolinda usalama wa nchi sio Yanga Sc, hivyo ikitokea Usalama wamecheza na timu yoyote raia inapaswa washabikie Polisi kwa kuwa ndio wanaolinda usalama
Ameyasema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Arusha akiwaelezea hali ya usalama kwa Moka wa Arusha kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu
Aidha amewataka vijana kutojihusisha na shughuli za uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu kwa kuwa Jeshi la Polisi limejiandaa vizuri