hebu nivute subra nijue ni uzushi au kwelPolisi wenye silaha wameizunguka nyumba ya Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Freeman Mbowe.
Tumuombe sana @freemanmbowetz maana naskia hao jamaa wenye silaha waliozingira nyumba yake wanasema wametumwa kuchukua roho ya Mbowe.
Watu wenye silaha wamezingira nyumba ya @freemanmbowetz nyumbani kwake Machame na kuwaweka chini ya ulinzi wote waliomo. Haruhusiwi mtu yeyote kutoka wala kuingia nyumbani hapo. Maeneo yote yamezingirwa!Dj mbowe Acha kutafuta Kiki kwa pikipiki, ni muda sasa wakutulia na wajukuu huku ukishushia bapa lako
Tanzania what did you do? Ona hiyo margin of victory. Mtu aniambie iko sawa...
Mwinyi naye ameshinda na 76%
Huku kulikuwa na hili
Hayo makura yenu feki yapo mtaani yamezagaa yanafungiwa mandazi.Sasa hao ma low IQ unakamata ushahidi halafu unachoma moto? Ubunge unaweza kupingwa Mahakamani sasa kama umechoma moto ushahidi, kuna kesi gani hapo?
Hao jamaa aidha ni waongo au too stupid for this life, ...