Je rais Magufuli, Mahakama na polisi ndio wamekushinda?

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Rais wangu kipenzi cha watanzania,najua kuwa unakwenda kushinda urais kwa kishindo kizito. Hii ni dalili kuwa watu wana imani kwako.

Natolea mfano tu leo umezindua reli ya Arusha Dar ambayo ilikuwa imekufa kwa zaidi ya miaka 30. Kwa hiyo wewe kwa watu wa Arusha ni shujaa na jembe lao,maana sasa watasafiri kwa 16000 tu mpaka Arusha toka Dar. Kwa ufupi umeyatumia mapato ya taifa hili vizuri kwa manufaa ya watanzania. Maana usafiri wa reli ni nafuu na una manufaa kwa wananchi.

Lakini rais wangu idara ya mahakama na jeshi la polisi limekushinda. Hii sio siri maana malalamiko ni mengi sana,kama wawakilishi wako kama wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa wangekuwa wanafanya kazi ipasavyo tusinge pata hii aibu kwa taifa hili.

Hapa tulipo bado tuna siku mbili tu tufanye uchaguzi lakini kila unapopita ni malalamiko juu ya polisi na mahakama juu ya watu kunyimwa haki zao. Umeyashuhudia haya kila mkoa uliokuwa unakwenda na baadhi ya watu waliodhurumiwa haki zao walikuwa wanazuiwa wasikuone au kuonyesha mabango yao.

Kama rais wetu JPM umeweza kufanya makubwa sekta ya afya,elimu na miundo mbinu kama ulivyofufua reli leo je mahakama na polisi umeshindwa kuwadhibiti?

Wananchi wanaumia moyoni kwa kukosa haki zao za msingi, awwmu hii ya pili fanya mabadiliko makubwa mahakama na polisi ili haki za wananchi zipatikane. Maendeleo ni pamoja na kupata haki za msingi ambazo katiba ya JMT imeziweka wazi.
 
Kila sekta inayohusu maendeleo ya watu imemshinda,yeye anapenda kuona tangible assets.
tapatalk_1603552691492.jpeg
 
Napenda kuipongeza idara ya mahakama kwa kusafisha baadhi ya mahakama ambazo ziligeuzwa vituo vya kibiashara na sio nyumba za kutolea haki.

Tatizo lililobakia ni makarani, hawa ndio kansa katika idara hiyo, jamaa wanaongoza kwa kuhakikisha haki za watu zinapotea.

Itafutwe namna sahihi ya kudeal nao.
 
Mahakama na police ndipo kitengo kitegemewacho kuumizia wasio na chapa ya 666,kila mtu ni shahidi hizi taasisi zilivyotumika kupindisha haki ikiwemo ubambikaji, zikitumika kuwaibia watz masikini kwa kuvuna mabilioni baada ya kulazimisha kukiri makosa na utoe hela za kununua Uhuru wako, wenye pesa wametoka wasio na pesa wangali wanaoza kwa kisingizio eti ushahidi haujakamilika.
 
Rais wangu kipenzi cha watanzania,najua kuwa unakwenda kushinda urais kwa kishindo kizito. Hii ni dalili kuwa watu wana imani kwako.

Natolea mfano tu leo umezindua reli ya Arusha Dar ambayo ilikuwa imekufa kwa zaidi ya miaka 30. Kwa hiyo wewe kwa watu wa Arusha ni shujaa na jembe lao,maana sasa watasafiri kwa 16000 tu mpaka Arusha toka Dar. Kwa ufupi umeyatumia mapato ya taifa hili vizuri kwa manufaa ya watanzania. Maana usafiri wa reli ni nafuu na una manufaa kwa wananchi.

Lakini rais wangu idara ya mahakama na jeshi la polisi limekushinda. Hii sio siri maana malalamiko ni mengi sana,kama wawakilishi wako kama wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa wangekuwa wanafanya kazi ipasavyo tusinge pata hii aibu kwa taifa hili.

Hapa tulipo bado tuna siku mbili tu tufanye uchaguzi lakini kila unapopita ni malalamiko juu ya polisi na mahakama juu ya watu kunyimwa haki zao. Umeyashuhudia haya kila mkoa uliokuwa unakwenda na baadhi ya watu waliodhurumiwa haki zao walikuwa wanazuiwa wasikuone au kuonyesha mabango yao.

Kama rais wetu JPM umeweza kufanya makubwa sekta ya afya,elimu na miundo mbinu kama ulivyofufua reli leo je mahakama na polisi umeshindwa kuwadhibiti?

Wananchi wanaumia moyoni kwa kukosa haki zao za msingi, awwmu hii ya pili fanya mabadiliko makubwa mahakama na polisi ili haki za wananchi zipatikane. Maendeleo ni pamoja na kupata haki za msingi ambazo katiba ya JMT imeziweka wazi.
Endelea kula lambalamba
IMG_20201022_095738.jpeg
 
Mahakama na police ndipo kitengo kitegemewacho kuumizia wasio na chapa ya 666,kila mtu ni shahidi hizi taasisi zilivyotumika kupindisha haki ikiwemo ubambikaji, zikitumika kuwaibia watz masikini kwa kuvuna mabilioni baada ya kulazimisha kukiri makosa na utoe hela za kununua Uhuru wako, wenye pesa wametoka wasio na pesa wangali wanaoza kwa kisingizio eti ushahidi haujakamilika.
Sasa mkuu ndio ameshindwa kuwanyoosha? Aibu kubwa sana kwake kila anapoenda ni mabango tu
 
Napenda kuipongeza idara ya mahakama kwa kusafisha baadhi ya mahakama ambazo ziligeuzwa vituo vya kibiashara na sio nyumba za kutolea haki.

Tatizo lililobakia ni makarani, hawa ndio kansa katika idara hiyo, jamaa wanaongoza kwa kuhakikisha haki za watu zinapotea.

Itafutwe namna sahihi ya kudeal nao.
Makarani peke yao ndio wanapindisha haki? Toa mapengo yako hapa.
 
Rais wangu kipenzi cha watanzania,najua kuwa unakwenda kushinda urais kwa kishindo kizito. Hii ni dalili kuwa watu wana imani kwako.

Natolea mfano tu leo umezindua reli ya Arusha Dar ambayo ilikuwa imekufa kwa zaidi ya miaka 30. Kwa hiyo wewe kwa watu wa Arusha ni shujaa na jembe lao,maana sasa watasafiri kwa 16000 tu mpaka Arusha toka Dar. Kwa ufupi umeyatumia mapato ya taifa hili vizuri kwa manufaa ya watanzania. Maana usafiri wa reli ni nafuu na una manufaa kwa wananchi.

Lakini rais wangu idara ya mahakama na jeshi la polisi limekushinda. Hii sio siri maana malalamiko ni mengi sana,kama wawakilishi wako kama wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa wangekuwa wanafanya kazi ipasavyo tusinge pata hii aibu kwa taifa hili.

Hapa tulipo bado tuna siku mbili tu tufanye uchaguzi lakini kila unapopita ni malalamiko juu ya polisi na mahakama juu ya watu kunyimwa haki zao. Umeyashuhudia haya kila mkoa uliokuwa unakwenda na baadhi ya watu waliodhurumiwa haki zao walikuwa wanazuiwa wasikuone au kuonyesha mabango yao.

Kama rais wetu JPM umeweza kufanya makubwa sekta ya afya,elimu na miundo mbinu kama ulivyofufua reli leo je mahakama na polisi umeshindwa kuwadhibiti?

Wananchi wanaumia moyoni kwa kukosa haki zao za msingi, awwmu hii ya pili fanya mabadiliko makubwa mahakama na polisi ili haki za wananchi zipatikane. Maendeleo ni pamoja na kupata haki za msingi ambazo katiba ya JMT imeziweka wazi.
Gari ya mgombea ubunge (Chadema) jimbo la Bunda Mjini @esteramosbulaya baada ya kushambuliwa kwa mawe na wafuasi wa CCM eneo la Nyasura. Ester Bulaya yupo salama na hakupata majeraha yoyote. Leo kampeni zake zitaendelea kama kawaida, atakuwa Balili kunadi sera zake.

Hicho ndicho chama tawala. Wamekosa sera wana kuwa ntarahamwe.. Chama kinacho hubiri amani na mshikamano. Wakisaidiana na polisi.
 
Makarani peke yao ndio wanapindisha haki? Toa mapengo yako hapa.
Chain nzima ya sheria kuanzia wakamataji,wapelelezi, waendesha mashtaka, mahakimu,nk wanavuna mabilioni kwa kuwaibia watz masikini kupitia ucheleweshaji wa kesi mbalimbal.kesi ni biashara kamili za watu.
Hili eneo la sheria ndo litakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa Sana ya sheria na taratibu kandamizi zinazotumiwa na wachache kuibiwa watz
 
Chain nzima ya sheria kuanzia wakamataji,wapelelezi, waendesha mashtaka, mahakimu,nk wanavuna mabilioni kwa kuwaibia watz masikini kupitia ucheleweshaji wa kesi mbalimbal.kesi ni biashara kamili za watu.
Hili eneo la sheria ndo litakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa Sana ya sheria na taratibu kandamizi zinazotumiwa na wachache kuibiwa watz
Nashangaa JPM ameshindwa kuwadhibiti kabisa.
 
Makarani peke yao ndio wanapindisha haki? Toa mapengo yako hapa.
Hata majaji wapo wa hovyo kabisa. Wapo wasiojua lolote na bado ni wala RUSHWA, kupindisha haki.
Tunahitaji serikali ijayo ituondolee majaji aina ya Moses Mzuna kwenye mahakama zetu.
 
Tuliambia kutakuwa na mahakama ya mafisadi badala yake kuna mahakama ya dppp na genge la kutesa na kula pesa za watu
 
Hata majaji wapo wa hovyo kabisa. Wapo wasiojua lolote na bado ni wala RUSHWA, kupindisha haki.
Tunahitaji serikali ijayo ituondolee majaji aina ya Moses Mzuna kwenye mahakama zetu.
Binafsi nimeshakutana na malalamiko kuhusiana na huyo mtu.
 
Back
Top Bottom