polisi

  1. The Palm Tree

    VIDEO: Ni mpambano wa Tundu Lissu vs Polisi kuhusu Sheria. I love this guy more than enough!

    The guy is very unique. Kutojua nini amesema kwa siku moja kt kipindi hiki cha kampeni kunanipa taabu sana. Mwisho wa siku ktk fukua fukua yangu nikakutana na video hii. Ni somo la sheria kwa Polisi wetu wanaofanya kazi zao kwa mazoea tu badala ya kufuata Sheria. Huyu jamaa ni mtu anayekufanya...
  2. Miss Zomboko

    Polisi yawakamata waandamanaji 300 Hong Kong

    Watu 300 waliokuwa wakiandamana wamekamatwa Hong Kong na jeshi la polisi kufuatia kukiuka agizo la nchi hiyo la kuwazuia kuandamana. Mamia ya waandamanaji walikuwa wamejitokeza barabarani kuonesha dhidi ya kucheleweshwa kwa uchaguzi wa Baraza la Kutunga Sheria kwa mwaka mzima, ambapo kambi ya...
  3. FrankLutazamba

    Huu ni ugunduzi wangu utaookoa abiria wasife ktk ajali hasa kwenye magari yenye bonet 'pua' kama VX V8, Land Cruiser za Polisi na kadhalika

    Ajali nyingi zitokeazo watu wamekuwa wakipoteza maisha hasa ktk magari yenye bonet 'pua'Kama niliyoyataja hapo juu.sasa nini kifanyike kuepusha ajali? Inabidi kati ya bonet na anapokaa dereva ziwepo spring ngumu za vyuma zile za mzunguko zinazoweza kubonyea ikitokea mgongano zisizopungua kumi...
  4. M

    GE2020 Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni; Jeshi la Polisi limeanza vizuri, limalize vizuri Kusimamia Kampeni

    Pamoja na jeshi la polisi kujitwalia taswira mbaya machoni pa wapenda haki kwa kuonesha upendeleo wa wazi nyakati za nyuma, angalau tokea kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuuwa mwaka huu wameonesha kusimamia weledi na kutotumia maguvu yao kukandamiza washindani wa chama tawala. Ingawa ni wajibu...
  5. Influenza

    Arusha: Watu watatu, wakiwemo wawili wafuasi wa CHADEMA wamekamatwa wakihusishwa na Uchomaji wa Ofisi za CHADEMA

    Polisi Mkoa wa Arusha limewakamata watatu ambapo wawili wakiwa dereva na ofisa uhamasishaji wote wa CHADEMA wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kuchoma moto Ofisi za Chadema Arusha 14 Agosti 2020.
  6. Erythrocyte

    GE2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

    Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi. ===== LIVE FEED: MBOWE: HATUOGOPI TBC WALA...
  7. ACT Wazalendo

    Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu akamatwa na Polisi usiku wa manane

    Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ndugu Ado Shaibu Ado amekamatwa na Jeshi la Polisi wilayani Tunduru jana Agosti 27 2020 saa sita usiku. Askari Polisi Wilayani Tunduru wakiongozwa na Mkuu wa Kituo (OCD) wakiwa na silaha za moto walimfuata Katibu Mkuu Ndugu Ado Shaibu nyumbani kwake Mtaa wa...
  8. BAK

    Milwaukee Bucks watelekeza mchezo wa 5 NBA playoffs dhidi ya Magic kutokana na Jacob Blake kupigwa risasi na polisi

    The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
  9. Erythrocyte

    Nakuuliza IGP Sirro, Mpaka sasa Polisi imewakamata watu wangapi waliotumika kuteka, kuumiza na kupora fomu za Wagombea wa Upinzani?

    Imebidi nijitokeza kukuuliza hadharani kwa vile mpaka sasa bado sijasikia ripoti yoyote ya polisi kuhusiana na jambo hili lililoitia aibu Nchi kote duniani Nilikuwepo kwenye kikao chako cha kujadiliana na wadau wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa masuala mbalimbali ya kuhusiana...
  10. J

    GE2020 Jeshi la Polisi linawashikilia wanachama watatu wa CHADEMA kwa kughushi barua za chama cha SAU ili wachukue fomu za Ubunge!

    Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wanachama watatu wa Chadema walioghushi barua za utambulisho wakijifanya ni wanachama wa chama cha SAU na kutaka kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa njia ya udanganyifu. ------ Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbrod Mutafungwa, alisema jeshi hilo...
  11. B

    Polisi wakanusha kutekwa kwa Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Ruangwa

    POLISI WAKANUSHA KUTEKWA KWA KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA RUANGWA Lakamata vijana watatu wakiwa na nondo ziliviringishiwa bendera za ACT WAZALENDO Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi limekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Katibu wa CHADEMA wa Wilaya ya Ruangwa, Bw. Claudio...
  12. G Sam

    GE2020 Morogoro: Mgombea ubunge wa CHADEMA Bi Devotha Minja awatoroka Polisi waliotaka kumkamata, gari lake lakamatwa

    Mwenyekiti wa timu ya kampeni ya Mgombea ubunge wa Morogoro mjini kwa tiketi ya CHADEMA na dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa baada ya kuwatoroka polisi. Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika...
  13. B

    Mikese na Askari polisi: Basi la Sauli limesimamishwa Mikese kwa karibu masaa mawili

    Basi la Sauli limesimamishwa Mikese kwa karibu masaa mawili. Tukio lilianzaje? Basi lilikuwa likiondoka Morogoro mida ya saa 10 jioni limeongozana na Al Sayeed. Dereva wa Al Sayeed na Sauli wote walifanya makosa waka - overtake eneo hilo. Bahati nzuri wa Al Sayeed hakusimamishwa ila wa Sauli...
  14. Kurzweil

    Polisi mbaroni akidaiwa kumbaka mtoto wa miaka minne

    Jeshi la polisi nchini Kenya linamshikilia askari wa jeshi hilo kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne katika kijiji cha Komomange, Kuria Magharibi, Kaunti ya Migori. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kuria, Cleti Kimaiyo amekaririwa na Citizen TV akieleza kuwa afisa huyo...
  15. LESIRIAMU

    Hai: Waliorusha mawe kwenye mkutano wa Lissu mkoani Kilimanjaro wakamatwa

    Together TunawakilishaHome Waliorusha Mawe kwenye mkutano wa Lissu wakamatwa Jeshi la Polisi mkoani kilimanjaro limewakata watuhumiwa 12 wanaodaiwa kufanya vurugu za kushambulia kwa mawe, mkutano wa mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu Wilayani Hai Mkoani humo wakati...
  16. assadsyria3

    GE2020 Tunduma yazuka vurugu na mabomu ya machozi yapigwa na polisi

    Mabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania. Zaidi, Soma...
  17. Ukana Shilungo

    Tetesi: Hassan Elias Masala aliyeshinda kura za maoni na kukatwa Nachingwea mikononi Mwa Polisi

    Heshima kwenu. Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni . Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la kutotimiza ahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Kambanga, ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015. Mzee Kambanga alipata ajali wakati...
  18. MSATULAMBALI

    TANZIA Mtanzania Johnson Mdoe auawa kwa risasi Marekani. Polisi watangaza dau kwa yeyote mwenye taarifa

    Polisi mjini Dallas wameomba msaada wa kumpata mtuhumiwa wa mauaji ya mhamiaji kutoka Tanzania, Johnson Mdoe Mchaina ambaye alikuwa anafanya kazi usiku kusaidia familia yake iliyopo Tanzania anapotoka. Hivi ya CCTV inamuonyesha mtuhumiwa akimpiga risasi Johnson na kuchukua maisha yake. Tukio...
  19. Q

    Polisi na NEC waanza kuhofia barua za Amsterdam & Partners LLP?

    Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake. Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema...
  20. Superbug

    Polisi wetu wapo kama ''Tokobetsu Koto Keisatsu'' ya Japan enzi hizo

    Miaka Mia iliyopita Japan walikuwa na Aina fulani ya polisi ambayo uanzishwaji wake ulikuwa na lengo zuri kuweka oda katika taifa lakini wakaja kutumika vibaya na ufalme wa Japan. Hawa polisi walifanya Mambo ya kichimvi Sana kule Japan kazi Yao ilikuwa hii hii Kama ya Hawa tanpol yetu kudhibiti...
Back
Top Bottom