Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kuzuia sherehe za Pasaka kwa namna yoyote ile ni kuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.
Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea.
Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.
Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea.
Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.