Sio siri, juzi nilimshukuru Mungu kwa kuweka kifo katika viumbe wake. Acheni tu kifo kiendelee kuwepo.Hii roho mbaya kaieneza Jiwe.
Ila itapotea soon kama alivyopotea Jiwe
Jiwe kafa kifo cha aibu.Sio siri, juzi nilimshukuru Mungu kwa kuweka kifo katika viumbe wake. Acheni tu kifo kiendelee kuwepo.
JESUS IS LORD!
usikute hata wakubwa huko juu hakutoa maagizo ya hovyo kama hivi , bali hii mipolisi inafanya kazi kwa mazoea ya kujipendekeza , na mingi yao elimu ni ndogo, sasa hapo wanamfungulia kesi ganiiiii...? zaidi ya kumbambikia kesi ya kutunga.........?View attachment 1730816
Huu Umoja na mshikamano viongozi wanaouimba majukwaani ndiyo huu? Uhuru wa nguo ya kuvaa ni haki ya binadamu, CCM mnataka wapinzani waishi kama second class citizens!