Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,508
- 19,888
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana kusikia mtu mwenye umri wa miaka 91 bado yupo kazini na wala hana mpango wa kustaafu, na kitu gani kinakuja haraka haraka kichwani mwako unaposikia kuwa yupo na hataki hata kusikia hilo neno kustaafu.
Afisa mmoja wa polisi, Arkansas nchini Marekani maarufu kwa jina la “Buckshot” Smith amesisitiza hana mpango wa kustaafu licha ya kuwa na umri wa miaka 91.
Kikongwe huyo ambaye mwezi Mei atatimiza miaka 92 ametoa kauli hiyo iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii.
LC “Buckshot” Smith amefanya kazi hiyo ya kusimamia sheria kwa zaidi ya miaka 56 huku akiwa anakaribia kufikisha miaka 92, huku akisema astaafu mpaka pale Mungu atakapomtaka kufanya hivyo, ”Nitastaafu mpaka Mungu atakavyota kufanya hivyo.”
Akiwa na umri wa miaka 46, kIkongwe huyo aliwahi kustaafu lakini alikaa nyumbani mwezi mmoja pekee na kugundua ni ngumu kwake baada ya kumisi kazi.
Afisa mmoja wa polisi, Arkansas nchini Marekani maarufu kwa jina la “Buckshot” Smith amesisitiza hana mpango wa kustaafu licha ya kuwa na umri wa miaka 91.
Kikongwe huyo ambaye mwezi Mei atatimiza miaka 92 ametoa kauli hiyo iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii.
LC “Buckshot” Smith amefanya kazi hiyo ya kusimamia sheria kwa zaidi ya miaka 56 huku akiwa anakaribia kufikisha miaka 92, huku akisema astaafu mpaka pale Mungu atakapomtaka kufanya hivyo, ”Nitastaafu mpaka Mungu atakavyota kufanya hivyo.”
Akiwa na umri wa miaka 46, kIkongwe huyo aliwahi kustaafu lakini alikaa nyumbani mwezi mmoja pekee na kugundua ni ngumu kwake baada ya kumisi kazi.