polisi

  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ester Matiko adaiwa kudhalilishwa na kutukanwa na watu kwenye Mikutano ya Kampeni ikiwemo Askari Polisi

    Wanawake wamekemea vitendo wanavyofanyiwa vya udhalilishwaji na baadhi ya watu wakiwatukana wanawake wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi. Akiongea mgombea ubunge viti maalumu kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),Tekra Johanes kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi...
  2. Deus J. Kahangwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mgombea Ubunge wa CHADEMA Karagwe, Adolf Mukono, Wagombea udiwani Kata za Chanika na Kituntu wakamatawa na Jeshi la polisi

    Mgombea Ubunge wa Chadema Karagwe, Adolf Mukono, wagombea udiwani Kata za Chanika na Kituntu wakamatawa na Jeshi la polisi “Tumewakamata baada ya kupata malalamiko kutoka upande wa CCM wakidai kwamba Chadema hawana ratiba ya kufanya kampeni zozote katani Chanika. Tulipomwuliza Msimamizi wa...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Serengeti wa CHADEMA Catherine Ruge alalamika kudhalilishwa na Polisi

    Kupitia akaunti yake ya Twitter Mgombea Ubunge wa Jimbo la Serengeti kwa tiketi ya CHADEMA, Bi. Catherine Ruge amelalamika kudhalilishwa n polisi ikiwamo kupigwa mabomu, kuchaniwa nguo na kushikwa baadhi ya sehemu za mwili. CATHERINE ATOA UFAFANUZI WA MADAI YA KUNYANYASWA NA POLISI Akitoa...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kenya yaitaka Uingereza iwachukulie hatua polisi wake 'waliomtesa Mkenya'

    Kenya imeiandikia Uingereza ikidai haki juu ya ukatili dhidi ya raia wa Kenya unaodaiwa kufanywa na maafisa wa polisi katika eneo la Colchester, Essex nchini humo. Tukio la ukatili huo lilichukuliwa kwenye picha ya video ambayo ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kuibua hasira na vilevile...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kanye West aungana na Wanaijeria kupinga ukatili wa polisi

    KANYE WEST AUNGANA NA WANAIJERIA KUPINGA UKATILI WA POLISI Mwanamuziki yota wa muziki wa hiphop wa Marekani, Kanye West ameungana na Raia wa Nigeria wanaoandamana kupinga ukatili wa polisi nchini humo Kutokana na ghasia zinazoendelea nchini humo serikali ilivunja Kikosi chake maalum cha Polisi...
  6. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo

    Heche ameandika ujumbe huu katika akaunti yake ya twitter: Nimepokea taarifa kutoka Serengeti mgombea wetu mh. Catherine Ruge, Mwenyekiti wetu wa wilaya mh Francis Garatwa, na watu wengine waliokua ofisi ya Mkurugenzi kudai mabadiliko ya ratiba, wamevamiwa na polisi wamepigwa na kuchaniwa nguo...
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania DC Sabaya: Wanaolitumikia Jeshi la Polisi nao ni binadamu na kuna mahali huwa wanafika wanakasirika. Msivunje sheria halafu mnataka huruma nyepesi

    Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amesema hakuna Askari aliyemzuia Mbowe kufanya kampeni na kwamba hata video inayosambaa mitandaoni ikimuonesha yeye na Askari wakibishana ni kwa sababu alivunja utaratibu kwa kutaka kufanya kampeni eneo ambalo hakutakiwa kinyume na kanuni za Tume. Kauli...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Natamani nisikie POLISI wamewakamata CCM kwa hujuma za kiuchaguzi, natamani sana!

    Yaani nisikie tu kuwa Polisi wamewakamata vijana au wanachama wa CCM wakihusika na hili na lile katika heka heka za uchaguzi,Polisi mnaweza kujificha hata kuwakama wale wanaoshusha bendera za vyama pinzani,angalau mkaonekana na kujikosha. Kuna masanduku yalio na kura zilizopigwa yanahangaika...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Natamani nisikie POLISI wamewakamata CCM kwa hujuma za kiuchaguzi, natamani sana !

    Yaani nisikie tu kuwa Polisi wamewakamata vijana au wanachama wa CCM wakihusika na hili na lile katika heka heka za uchaguzi,Polisi mnaweza kujificha hata kuwakama wale wanaoshusha bendera za vyama pinzani,angalau mkaonekana na kujikosha. Kuna masanduku yalio na kura zilizopigwa yanahangaika...
  10. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwanini IGP Sirro na Jeshi la Polisi hawawashughulikii Wasimamizi wanaokiuka Sheria na kuvuruga Kampeni na Uchaguzi?

    ..IGP Sirro na jeshi la Polisi wamekuwa mstari wa mbele kukemea wanasiasa wanatoa kauli ambazo ameziita za kichochezi, na za shari. ..Kauli ambazo IGP amekuwa akizikemea mara nyingi huelekezwa kwa Nec na Wasimamizi wa uchaguzi. ..Je, tatizo ni wanasiasa wakorofi na washari, au tatizo ni...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya Wanasiasa kujibishana na polisi isiachwe iote mizizi. Alianza Malima, Kigwangalla, Nape, Lissu na sasa Mbowe

    Ni vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii Sheria bila Shuruti kwa sababu mabishano kati ya Polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema. Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2020 Polisi waondoa kizuizi alichowekewa Tundu Lissu Kiluvya. Asema anaendelea na safari yake

    Baada ya mapema leo polisi kuzuia msafara wa Tundu Lissu eneo la Kiluvya, hatimae wameondoka na kuacha uendelee na safari na Lissu amesema ataendelea na safari yake kama ilivyopangwa na atakutana na wanachama usiku huu. Baada ya polisi kuondoka, Lissu ameongea yafuatayo. LISSU: Nasikia hata...
  13. D

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

    Jeshi la Polisi wenye silaha za moto na Mabomu ya machozi muda huu wameuzuia msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tundu Lissu maeneo ya Kiluvya ukiwa unaelekea Kibaha. Zaidi soma; Uchaguzi 2020 - Polisi waondoa kizuizi...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Polisi hawapaswi kuuunganisha wahalifu na kabila wala chama chao cha siasa, waache mara moja tabia hii mbaya

    Kuna mambo mengi polisi wa Tanzania wanatuhumiwa kukosa ujuzi wa kazi zao (professionalism) na hata kuwepo kwa madai kwamba tatizo la polisi wetu ni kwamba wengi wao ni wale ambao hawakuwa na matokeo mazuri shuleni. Labda ni kweli. Na labda kuwepo kwa uwezekano huu ni pale ambapo...
  15. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania India: Maofisa wa Polisi wafukuzwa kazi baada ya kuharibu ushahidi wa tukio la binti kubakwa na kuuawa

    The victim, a 19-year-old Dalit woman, died earlier this week from injuries sustained during an alleged gang rape by four upper-caste men. Local police have been accused of mishandling the investigation. India's Central Bureau of Investigation has taken over the case of a 19-year-old Dalit woman...
  16. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Mazingira: Kwanini kuna huduma za kijamii (Shule, Polisi, Hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu/miti (Mapafu) kwa ngazi hiyo?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania wataalam wa mazingira eti; Kwanini kuna huduma za kijamii (shule, polisi, hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu (mapafu ya hewa safi) kwa ngazi ya hiyo? Au hiyo hifadhi maalum ya misitu kwa ngazi ya kata...
  17. Mag3

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Simon Sirro, je unasemaje kuhusu hawa askari wako? Je, kwa Tundu Lissu kuwafokea hawa askari huoni anatimiza wajibu wake wa Kikatiba?

    Je, mgombea wa Urasi kupitia Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu anayo haki yoyote ya kufokea ushirika huu wa kiharamu wa Jeshi la Polisi na CCM? Je, ni kweli jeshi la polisi linatumiwa na wagombea wa CCM kukandamiza uhuru na haki ya wananchi kuwapigia kura viongozi wanaowapenda? Je, kitendo cha...
  18. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Lema: Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu

    Nimekamatwa na Jeshi la Polisi Arusha, mpaka sasa sijajua kosa langu. Niko naelekea Kituo kikuu cha Polisi Arusha. MSIOGOPE
  19. J

    JamiiForums Tanzania NEC nao wamesitisha Wito wa Tundu Lisu kama polisi au bado wanamsubiria?!

    Nauliza tu kama Tume ya taifa ya uchaguzi imetoa tamko lolote kuhusu wito wa Tume kumtaka Tundu Lisu aripoti Dodoma kujibu tuhuma kadha wa kadha. Ni muda sasa tangu mkurugenzi wa uchaguzi atutangazie wito huo na saa 48 za kisheria zimeshapita. Ni hilo tu. Maendeleo hayana vyama!
  20. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Sirro wakanye polisi wasiingize kwenye mitego ya wanasiasa

    Hivi kwa mtazamo wako hawa polisi kwa mambo haya wanayoyafanya utegemee kesho watende haki kwa vyama viingine? IGP Siro wakanye polisi wako wasiingize kwenye mitego ya wanasiasa.
Back
Top Bottom