pisi kali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    'Wasimamizi wa ndoa ni 'Pisi Kali' kuliko Mabibi Harusi'

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Amon Mpanju amesema siku hizi wasimamizi wa ndoa wamekuwa ni fasheni na siyo wale wenye sifa ya kufanya kazi hiyo katika ndoa. Sambamba na hilo amesema wakati mwingine wanakuwa ‘pisi kali’ kuliko bibi...
  2. Mr Pixel3a

    Wanawake pisi kali wana tofauti gani na hawa wengine kwenye mapenzi?

    Kumekuwa na wimbi la vijana wengi wanatamani kudate na pisi kali kila iitwapo leo. Mtupe ujuzi; je, hawa pisi kali wana ubora upi na sifa zipi ukilinganisha na hawa wengne kwenye sekta ya mapenzi?
  3. M

    Ninavyotafuna pisi kali kwa kufananishwa na mtu mmoja maarufu hapa nchini

    Wanawaje wote akili zao zinafanana. Unakumbuka ule mwaka Leicister city anachukua ubingwa wa EPL? Timu ilikuwa chini ya kocja Raniel Sasa kuna mzee mmoja pale England kaganana na Raniel copycopy Mzee choka mbaya mtoto wa mjino alivhoganya ni kuchonga siti zake mbili na kukatiza mitaa ya london...
  4. FourTwoNet

    Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

    Wakuu, wasalaaam, Ni mikoa gani pisi kali haswa za kichotara chotara ivi zinazojielewa zinapatikana? Naskia Tanga kuna za kiarabu kali kali. Mnaonaje wadau? Hivi ni kweli? Na kama kuna anayejua mikoa mingine, itakuwa poa sana kutiririka humu wakuu. Kwa hayo machache,nawaomba na hili...
  5. kataip

    Wanaume msihadaike na hadaa za nje, wengi mnatekeleza malengo ya wengine bila kujua na kutelekeza familia

    Wanaume wenye ndoa kuanzia miaka 9. Hawa wengi unakuta wanaanza kugonga miaka 40 na zaidi. Baada ya kupambana sana na kazi au biashara au kupata cheo hapa ndipo kipimo kamili cha uanaume kinakuwepo. wanawake rika mbali mbali hasa mabinti wenye tamaa watakupenda unajua kupendwa wewe...
  6. H

    Sitasahau Siku nimemnunua X wangu kama Pisi kali

    Aisee wanasema milima haikutani lakini Binadamu wanakutana, Hiki ni kisa Cha kweli mwaka huu, Nilisafiri kikazi kwenda mkoani Tanga na Kwa kawaida ni sehemu ambayo huwa naenda mara kadhaa kutokana na kazi yangu, Basi Siku Hiyo nilitoka nikiwa na "ukame" kama wote maana nilikuwa na mgogoro...
  7. Boss la DP World

    Unapenda papuchi kama mimi? Toa lifti kwa pisi kali, hii njia ni hatari sana

    Mimi nimesha jipambanua, nisipoenda mbinguni mjue ni kwasababu ya uzinzi. Sasa leo ngojeni niwaambie njia ambayo inafanya nisilale njaa. Kwanza tangu nilivyo gundua kipaji changu cha kuwapa raha mabinti, niliamua kutoka na pisi kali tu, yaani nikiona demu mzuri mwenye hips na tacle nikipata...
  8. mpasta

    Msaada tutani: Mbinu za kumdai Pisi kali pesa yako

    Niende moja kwa moja kwenye mada: Ofisini kuna Pisi kali moja Mama SAMIA Intake(Ajira mpya), sasa kuna Workmate mmoja , bado hajaoa, kaanza kumfukuzia mdogo mdogo. Last week bana kapewa kadi ya mchango wa harusi na yule Pisi kali dadake anaolewa hivyo anaomba mchango, Singo elfu 70, Dabo 120...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Vigezo vya majiji makubwa Kwa mwanamke kuitwa Pisi Kali, vyawekwa wazi Rasmi!

    Wakuu Kwema! Wanaume karibu wote Duniani hupenda wanawake wazuri, na hapa nazungumzia wazuri kikamilifu. Sio wakubahatisha! Taikon nikaona nifanye uchunguzi ni kitu gani kinafanya mwanamke aitwe Pisi Kali, mtoto JoJo mzuri Kama Malaika. Vifuatavyo ni vigezo vya wanawake kuitwa Pisi Kali katika...
  10. MIXOLOGIST

    Kuna pisi-kali na vipisi-vikali

    Wasalaam wana JF Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali. Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani kabla ya muovu shetani kuja, wao ndiyo waliokua mpango wa Mungu, yaani muonekano alioukusudia Mungu...
  11. kibovu

    Baa zenye pisi kali kula bata weekend

    Wakuuuu poleni na majukum, Kiukweli huwa nikija dar mapumziko ya kikaz hupenda kujirusha viwanja mbali mbali . Lakini samaki samaki masaki wazeee weekend kuna ps kali zinakula bata tupeane machimbo mengine kesho ntakuwa dar wakuu.
  12. Equation x

    Muhudumu wa 'lodge' ni pisi kali kumzidi mpenzi wangu niliyempeleka hapo mapumzikoni

    Kuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo. Alipofika, tukabadilishana mawazo, kula kunywa na hatimaye tukaelekea mapumzikoni. kufika...
  13. maroon7

    Sijui kwanini nachepuka...

    Yaani mama yeyoo alivyo kisu hata sielewagi why mimi sometimes nakua mchepukaji. Maana hata kipindi nampata yeye ndo alikua kama side chick halafu main chick sikumuoa japo naye alikua kisu. Ila tuache utani wachepukaji tunakua na maoption sana maana nikikumbuka visu nilivokua nakula hadi...
  14. sky soldier

    Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

    Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo. Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu. Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata...
  15. Chai Maziwa

    Kwanini wanaume wanaoa wanawake wa kawaida ilihali wamezoeleka kutoka na pisi kali?

    Habari wanaJF Leo nakuja na swali. Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa alikuwA akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo. Ni kwamba kuna wanawake wa...
  16. R

    Hili lilinikosesha Pisi kali

    Wakuu habari za wikendi Nimekumbuka Kisaa hiki kilinitokea huko nyuma miaka 20 iliyopita. Nilikuwa nikipata Pisi kali baada ya kuanzisha mahusiano mazuri kuna ile mnaanza kupiga stori za ndani ndani zaidi. Akiniuliza hivi Pythagoras kwenu mko watoto wangapi? Kwakweli hili swali lilikuwa...
  17. Streptokinase

    Nilijua ni story tu ila dah! Pisi kali punguzeni kulia shida

    Mabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani. E bhana niwe muwazi nishakutana na pisi zinazopiga vizinga sana tu ila hii niliokutana nayo jana ni balaa. Ilikua hivi, baada ya kutoka...
  18. F

    Mchumba wa Nikki wa Pili awa best student kwenye CPA...

    Pisi kali with brain inapendeza sana. Wale wa tuma na ya kutolea jifunzeni kwa mwenzenu. Mitihani ya CPA sio ishu ndogo. Mrembo anastahili pongezi
  19. Equation x

    Kama huna hela usioe pisi kali

    Kuoa pisi kali huku huna hela au hela yako ni ya mawazo ni kutafuta magonjwa ya moyo na presha. Kwa sababu zifuatazo:- Pisi kali haijui kutumia kuni Pisi kali haijui kulima Pisi kali haijui kuchumia ng'ombe majani Pisi kali haijui kushinda njaa Pisi kali haijui kula vyakula vya kawaida Pisi...
Back
Top Bottom