Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,840
Ashakum si matusi! Wivu hauwasaidii nyie watu ukweli lazima usemwe kabisa na na ni ukweli ni safi ila unauma ila ndiyo hivyo lazima niuseme tu no way kabisa wakuu.
Juzi kila mwanafamilia kwetu ameingiziwa milioni miambili kwenye akauti yake miongoni mwao ni mimi nimelamba hiyo pesa kutokana na juhudi za wazazi wetu kutumbania future za watoto wao ambao ni sisi kwahiyo niuwalize nyie mkiuza plot hata laki mbili kila mwanafamilia atapata? Shame on them.
Sasa niwatonye nyie wapambanie watoto wenu kuwatengenea future watoto wenu msiangaike na hizo pisi kali hizo wapambanie watoto wenu huko!huu ni ushauri wangu kama utanuna nuna tu ila ukweli ndiyo huo.
Wazazi wenu walikuwa kutwa kuhaingaika na pisi kali miaka Ile ddc mlimani Park sasa wanakuja kuwatesa nyie watoto poleni sana.
This thread posted by someone who get 200million from inheritance property also use note 10 plus 5G na ambaye haishi nyumba ya kupanga.
Juzi kila mwanafamilia kwetu ameingiziwa milioni miambili kwenye akauti yake miongoni mwao ni mimi nimelamba hiyo pesa kutokana na juhudi za wazazi wetu kutumbania future za watoto wao ambao ni sisi kwahiyo niuwalize nyie mkiuza plot hata laki mbili kila mwanafamilia atapata? Shame on them.
Sasa niwatonye nyie wapambanie watoto wenu kuwatengenea future watoto wenu msiangaike na hizo pisi kali hizo wapambanie watoto wenu huko!huu ni ushauri wangu kama utanuna nuna tu ila ukweli ndiyo huo.
Wazazi wenu walikuwa kutwa kuhaingaika na pisi kali miaka Ile ddc mlimani Park sasa wanakuja kuwatesa nyie watoto poleni sana.
This thread posted by someone who get 200million from inheritance property also use note 10 plus 5G na ambaye haishi nyumba ya kupanga.