Katika hali isiyokuwa ya kawaida,wapokeaji wa pesa za TASAFU, wameambiwa kuwa ,lazima wachanjwe ,ndio wapokee pesa za TASAFU.Na kama watakataa kuchanjwa, basi hawatapewa pesa hizo.
Kwa hali hiyo, wananchi hao wametakiwa kuchanja kwanza ndio, waende kupokea pesa. Yaani unachanjwa kwanza, ndio...