Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Bondia wakuu.
Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema.
Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa wananchi kwenye mzunguko. Sasa akizitoza na kuzirudisha tena kuna mzunguko wowote wa pesa unakuwa umeongezeka?
Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema.
Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa wananchi kwenye mzunguko. Sasa akizitoza na kuzirudisha tena kuna mzunguko wowote wa pesa unakuwa umeongezeka?