Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Waziri wa Fedha awe mkweli maana kama kajisahau vile anaendelea kutoa hotuba, alituambia fedha za tozo zitahusika kwenye Ujenzi wa madarasa na huduma za afya, leo hii fedha walizopewa na IMF anataja miradi ile ile kwamba ndio itakayo tekelezwa, huenda labda mm sijaelewa vizuri pamoja na kuwa nina experience ya ufadhili wa miradi kwamba mnaweza mkawapa wafadhili 3 ripoti ya mradi 1 ila kila mtu akawa alitoa peza za mradi huo huo.
Huenda sijaelewa kwamba fedha za tozo zitafanya kazi gani vile na hizi za IMF zitafanya kazi ipi vile.
Wakumbuke Wastaafu HAWAJALIPWA MAFAO yao sasa ni miezi 12 na zaidi kwa wengine.
Huenda sijaelewa kwamba fedha za tozo zitafanya kazi gani vile na hizi za IMF zitafanya kazi ipi vile.
Wakumbuke Wastaafu HAWAJALIPWA MAFAO yao sasa ni miezi 12 na zaidi kwa wengine.