EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA mbinguni hakuna laana tena.
Leo napumzka na visa vya muha nawaletea kisa huko cha dogo na mchepuko wake.
Nina dogo langu mmoja ni Mzee WA PGO ( police ) dogo ana family mke na mtoto. SASA ana mchepuko wake huo unafanya biashara ya GENGE lenye mazaga kama yote ya misosi.
Hoja yangu ni kwamba HUyo mchepuko ndiye anatoa mahitaji mengi ya nyumbani Kwa dogo kasoro unga na Michele Tu Ila vingne vingi mchepuko anatoa dogo anapeleka home wanatumia na familia yake.
Mchepuko huo si Tu mazaga Bali mpaka na hela dogo akifulia anapewa na HUyo demu wengne wanaweza kusema pengne demu ni mchovu kaokota dodo Kwa taarifa Tu demu ni kisu tako like tamu ambalo si la manyamanyama kama la shishi ni tako Fulani limetulia na uwenda ni laini Sana 🤗🤗.
Kimsingi dogo kapata kitonga mpaka PGO wenzake nao wakifulia huenda kukopa Kwa mchepuko WA dogo kukopa mazaga si pesa.
Sa huwa najiulza je mapenzi ni pesa au ni moyo au dogo amemloga HUyo mchepuko au Kuna nini maana humu wakuu Kila ukizungumzia mapenzi unaambiwa tafuta pesa wakati Kuna raia wanapga papuchi za watoto wakali na hawalipii hata Mia zaidi ya lodge Tu na bado wanapewa bonuses kama zote.
Mchepuko anajua dogo ana mke wake msisahau Hilo.
NB: wanaume msiache kutafuta maisha na pesa.
Leo napumzka na visa vya muha nawaletea kisa huko cha dogo na mchepuko wake.
Nina dogo langu mmoja ni Mzee WA PGO ( police ) dogo ana family mke na mtoto. SASA ana mchepuko wake huo unafanya biashara ya GENGE lenye mazaga kama yote ya misosi.
Hoja yangu ni kwamba HUyo mchepuko ndiye anatoa mahitaji mengi ya nyumbani Kwa dogo kasoro unga na Michele Tu Ila vingne vingi mchepuko anatoa dogo anapeleka home wanatumia na familia yake.
Mchepuko huo si Tu mazaga Bali mpaka na hela dogo akifulia anapewa na HUyo demu wengne wanaweza kusema pengne demu ni mchovu kaokota dodo Kwa taarifa Tu demu ni kisu tako like tamu ambalo si la manyamanyama kama la shishi ni tako Fulani limetulia na uwenda ni laini Sana 🤗🤗.
Kimsingi dogo kapata kitonga mpaka PGO wenzake nao wakifulia huenda kukopa Kwa mchepuko WA dogo kukopa mazaga si pesa.
Sa huwa najiulza je mapenzi ni pesa au ni moyo au dogo amemloga HUyo mchepuko au Kuna nini maana humu wakuu Kila ukizungumzia mapenzi unaambiwa tafuta pesa wakati Kuna raia wanapga papuchi za watoto wakali na hawalipii hata Mia zaidi ya lodge Tu na bado wanapewa bonuses kama zote.
Mchepuko anajua dogo ana mke wake msisahau Hilo.
NB: wanaume msiache kutafuta maisha na pesa.