GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,465
- 108,620
Mama ni Waziri aliye na tabia ya kupenda Kukurupuka na Kuanzisha au Kuzinunua Timu, anawekeza huko na akishazitumia kwa Maslahi yake huja Kuzitelekeza mbele ya Safari kisha anabakia na Timu yake moja Kubwa ambayo hudiriki hata Kunyofoa Wachezaji wazuri huko na Kuwapeleka bure katika hiyo Klabu.
Rais Samia wala GENTAMYCINE sina tatizo na Yeye Kuifadhili hiyo ( hii ) Timu ya DTB ( ambayo inajificha nyuma ya Umiliki wa Benki ) ila Watu wa Mpira Tanzania tumeshajua Waziri wako Mwandamizi ndiyo yuko nyuma yake ila tunataka tu kujua je, hizi Pesa hakuibii kweli huko Hazina? Je, huyu Waziri wako kule katika Kiapo cha Mali za Viongozi na huu Utajiri wake wa Kuimiliki hii Klabu ya DTB ameuweka pia?
Na wamepania kupanda Ligi Kuu ( NBC Tanzania Premiership ) kwa Gharama yoyote ile na tayari wameshaanza hata Kuhonga katika Mechi zao za awali ili tu wapande Ligi Kuu na ndiyo Timu inayoogopwa na TFF kutokana na huyu Waziri wako Mwandamizi aliye nyuma.
Rais mchunguze upesi sana huyu Waziri.
Rais Samia wala GENTAMYCINE sina tatizo na Yeye Kuifadhili hiyo ( hii ) Timu ya DTB ( ambayo inajificha nyuma ya Umiliki wa Benki ) ila Watu wa Mpira Tanzania tumeshajua Waziri wako Mwandamizi ndiyo yuko nyuma yake ila tunataka tu kujua je, hizi Pesa hakuibii kweli huko Hazina? Je, huyu Waziri wako kule katika Kiapo cha Mali za Viongozi na huu Utajiri wake wa Kuimiliki hii Klabu ya DTB ameuweka pia?
Na wamepania kupanda Ligi Kuu ( NBC Tanzania Premiership ) kwa Gharama yoyote ile na tayari wameshaanza hata Kuhonga katika Mechi zao za awali ili tu wapande Ligi Kuu na ndiyo Timu inayoogopwa na TFF kutokana na huyu Waziri wako Mwandamizi aliye nyuma.
Rais mchunguze upesi sana huyu Waziri.