Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,023
- 71,229
Leo nimeamua kuandika hili jambo baada kuona limekua Bomu linalochipuka na ambalo miaka 10 ijayo litakapolipuka, Wanaume wengi watakua waoga sana na wengine kuuacha uanaume wao na huenda neema ya wanawake kuanza kuoa wenyewe ikaja !!.
Mdau mmoja ananiambia " Carlos nina rafiki yangu huyo ana Pesa, ana elimu, ,yaan hadi mwanaume anapigwa makofi lakini anatulia".
Huenda ni Maisha ambayo Wanaume ambao wanazidiwa vipato au hata hawazidiwi lkn ni maisha wanayopitiwa sana.
Nadhan nitakua sahihi kusema " Sasa Tanzania ni kama Kenya , ambapo Wanaume wananyanyaswa kijinsia na wanawake wao"....
NIANZE HIVI ... Dunia ya Sasa ni Ukombozi yaan mwanamke hatakiwi kuachwa nyuma, kielimu, kiuchumi, kisiasa ,n.k
Ndio sababu unaona ,tunaanza darasa la kwanza tunao, tunaingia sekondari tunao pia tunasoma nao, tunaingia vyuo ,tunao piaa, tunarudi mtaani na makazin tunao pia.
Kwa hiyo ni wazi kabisa kusema kwamba ni haki ya mwanamke kusoma, kupata uchumi wake, kuheshimika kinafasi na kua na mafanikio yake .
Ndio sasa amefanikiwa, ana elimu kubwa alosoma kutimiza ndoto yake, ana pesa, anatambulika... JE AOLEWE AU APENDWE NA MWANAMKE MWENZAKE??.
Ninani wakumpenda na Kumuoa huyu mwanamke"?? JIBU NI MOJA NI MWANAUME.
sasa leo niwambie KATIKA UKAMILIFU WA MWANAMKE, WEWE MWANAUME ni zaidi ya Elimu/Pesa/Mafanikio alonayo mwanamke.
NISIKILIZENI JAMAA, MWANAMKE ALIUMBWA KUJENGA FAMILIA, MWANAMKE ALILETWA DUNIANI KWETU SISI WANAUME KUENDELEZA KIZAZI ....kwa hivo bila kujalisha Elimu /Kazi yake, Siku zote kuna umri wa mwanamke akishaona hatongozwi, ataanza kuombea Apate Ndoa tu, akiona ndoa haipo, atatamani angalau apate mtoto,... Unamuona mwanamke akikosa mtu sahihi wa kumpa mtoto , atabaki anataman basi apatikane tu mwanaume azae naye ,apate mtoto, alee mtoto wake yaaan Pesa zake azitumie sasa vizuri.
( NIMEANZA KUYASEMA HAYO, ILI WEWE MWANAUME UONE NAFASI YAKO KATIKA ULIMWENGU WA MWANAMKE)
Aaahh sikilizeni, namaanisha hivi hata kama ana Pesa, ana elimu ana mafanikio na na akapata watoto, lkn hana mume, BADO BADO BADO ATATEGEMEA KUA NA MTU " WAKUWEKANA NAYE SAWA"...huyu. mtu anaweza asiwepo masaa 24, ila kwakua yupo, anajua fika kwamba ,siku nikiwa na muwasho nitakwenda kwa CARLOS.
SHIDA INAANZA IVI ?
je wasiwe na wapenzi?? Je wapendwe na Watu weenye vipato zaidi yao?
Enyi wanaume, nawaambieni, MAPENZI NI HISIA , mapenzi hayapo katika Elimu, wala pesa.
Ndioo kuna wakati unamkuta mwanamke ana masters ya kitu fulan, ivo basi utasikia anakuambia, Nataka mwanaume mwenye Elimu fulani ,au mwenye uwezo fulani wa kiuchumi. .... LAKINI huyu huyu mwanamke, kuna wakati unafika anasema "Mungu niletee tu Mume mwema"....
Kwann hakutaka kuendelea na VIGEZO VYAKE ?? kwa sababu WAKATI WA KUA NA MWANAUME WAKE UMEFIKA ,HANA HANA CHAGUZI LINGINE NA HIVO BASI ANALAZIMIKA YEYE KUFANYA FIRST MOVE .
Rafiki yangu mmoja wa kike anamiaka karibu 36 , siku moja akaniambia "CAELOS nina kazi yangu ,nina pesa yangu, ila kazini siheshimiki, naonekana mdangaji, mabinti wadogo kazin wameolewa Lakini mimi bado, jambo hili linaniumiza sana sana nahata kazini siheshimiki..
Kwanini Anaumia ? KWA SABABU KUITWA KWA JINA LA MUME WAKE, NI JAMBO LINALOMUHESHIMISHA MWANAMKE KATIKA JAMII.
hamna cha U-FEMINISTS wala cha bibi yake , Ukweli nikwamba, HATA HAWA WANAOJIITA LEO MAFEMINISTS , WANA WATOTO KADHAAA, KISHA KWA SABABU TUSIZOZIJUA, WAKAACHIKA NDOANI...... Sasa anaamua kujisimamia mwenyewe sababu anajiweza, LKN NAWAAMBIENI, MCHANA NI MAFEMINISTS, USIKU KUNA WANAUME WANAWAKAZA VIZURI TU
( Nimelichomekea hilo kuona NAFASI YAKO WEWE MWANAUME KTK ULIMWENGU WA MWANAMKE)
TURUDI KWENYE MADA YETU SASA !!
Ndugu zangu, Sio dhambi kua na mwanamke mwenye kipato, au elimu kubwa....
HOFU yetu sisi ni juu ya kudhaurilika, kwamba mwanamke akishakuzidi elimu ,au kipato basi atakudharau, hatokuheshimu n.k
lakini kwann ayafanye hayo? Je wee sio mumewe tena? , je anataka sasa atafute Mume mwingine wa juu yake zaidi???. HAPANA.
Je huenda ni TABIA yake halisi sasa anaifichua kwamba huko nyuma alijifanya kondoo ila hakua anayekufaa?? JIBU NI NDIO , na mwanamke huyu sio mtu sahihi kwako. ( ACHANA NAYE KABLA HAJAUVUA UTU WAKO.).
Tatizo kubwa liko wapi? Ni pesa zake ? Elimu? Tabia ??....
TATIZO KUBWA NI SISI WANAUME
kuathirika na Imani yakwamba mke akifanikiwa, anabadilika, ivo mkeo anapofanikiwa, mwanaume unaanza kujinyenyekeza nakujipendekeza kwa mkeo, hata unajikuta ule wajibu wa kiume umeuacha , NA HIVO MKEO ANABADILIKA KUTOKANA NA MAZOEA MAPYA ULOAMUA KUMPA ...... Ulikua ukihoji sasa umeacha, ulikua ukikasirika na anajua sasa umeacha, ulikua akizengua unampa makofi sasa unaacha, ulikua unafokea sasa unaacha.....kirahisi tu, unaacha sababu Amefanikiwa kwahiyo unaogipa kuachwa, ivo hata afanye nn ,wee ni sawa tu
ilo la juuu, linakufanya upoteze DOMINANCE, LEADERSHIP, AUTHORITY JUU YA MKEO ...na ninawaaambia, Mwanamke hata aweje, kama utapoteza vitu hivi vitatu, nibora tu umwambie ongeza MUME WA PILI MKE WANGU.
NINI KIFANYIKE??
kama mwanaume, vijana
JIPE THAMANI
,Wewe ni kichwa cha familia na familia yako LAZIMA UILISHE KWA JASHO ,hivo basi pambana kwa kadiri ya uwezo wako na kwa kadiri ambavyo MUNGU AMEKUBARIKIA.
HAKIKISHA , TAFADHALI ,HAKIKISHA YAAN HAKIKISHA UNAKUA MAMLAKA, MTAWALA NA KIONGOZI KATIKA DUNIA YA MKEO BILA KUJALISHA KAFANIKIWA.
HAKIKISHA ANAJUA KUA UNAMPENDA NA UNAMJALI SAWA NA KIPATO CHAKO ILA BADO AKILETA UJINGA MBALI NA PESA ZAKE, UPO TAYARI KUMWACHA NA KUOA MWANAMKE MWENGINE, NAKUMUACHA YEYE AMBAPO NAYE BADO ATAENDA TUUU KUTAFUTA MWANAUME MWENGINE KWASABABH HAWEZI ISHI BILA MWANAUME.
KATIKA YOTE HAYO, TIMIZA WAJIBU WAKO KAMA BABA NAKAMA MUME
USISHOBOKEE PESA YAKE , WALA KUHOJI WALA NINI, INAPOBIDI MKONO WAKE MSHIRIKISHE, NA UMSHIRIKISHE KAMA MUME NASIO KINYONGEE NYONGEE
WATIENI , WATIE, WAPELEKEENI MOTO, SUGUAA, PIGAAA PIGAAAA,PIGA MPAKA AJIONE ANAISHI KWA SABABU YA KITOMBO UNACHOMPA NASIO MAFANIKIO YAKE...( atakua anakuita mwenyewe Baba ,pesa hii hapa).
Mwanamke ni mwanamke ,awe mjeshi. Awe CEO ,awe wa elimu gan, aweje, maadam alikukubalia ulipomtongoza, BASI JUA TU SHE IS JUST A WOMAN , ni mtoto tu mdogo anayehitaji malezi ya Baba yake WAKATI HUOHUO HATAKI AWE KAMA MAMA YAKO.
Mtaishi nao vizuri !!
Ila ndo mkiendekeza ubebi bebi bebi bebi ,bebi ,aaahhhh atakushinda tu alafu utarudi na uzi humu ukilia " Kabadilika baada ya kupata Pesa, KUUUUUMBE, KIRUSI NI WEWE MWENYEWE, ULIYEAMUA KUSAHAU MISINGI YA UANAUME WAKO.
MWISHO
Kuanza Upya sio ujinga, USIWE MZITO KUMUACHA MWANAMKE , WANAWAKE NI WENGI NA WAMEJAA, YES KABADILIKA KWA UZEMBE WAKO, BASI CHUKUA HATA HATUA YA KUACHANA NAYE MARA MOJA, KULIKO KUACHA UTU WAKO UCHEZEWE.
Maneno yangu sio sheria.
Mdau mmoja ananiambia " Carlos nina rafiki yangu huyo ana Pesa, ana elimu, ,yaan hadi mwanaume anapigwa makofi lakini anatulia".
Huenda ni Maisha ambayo Wanaume ambao wanazidiwa vipato au hata hawazidiwi lkn ni maisha wanayopitiwa sana.
Nadhan nitakua sahihi kusema " Sasa Tanzania ni kama Kenya , ambapo Wanaume wananyanyaswa kijinsia na wanawake wao"....
NIANZE HIVI ... Dunia ya Sasa ni Ukombozi yaan mwanamke hatakiwi kuachwa nyuma, kielimu, kiuchumi, kisiasa ,n.k
Ndio sababu unaona ,tunaanza darasa la kwanza tunao, tunaingia sekondari tunao pia tunasoma nao, tunaingia vyuo ,tunao piaa, tunarudi mtaani na makazin tunao pia.
Kwa hiyo ni wazi kabisa kusema kwamba ni haki ya mwanamke kusoma, kupata uchumi wake, kuheshimika kinafasi na kua na mafanikio yake .
Ndio sasa amefanikiwa, ana elimu kubwa alosoma kutimiza ndoto yake, ana pesa, anatambulika... JE AOLEWE AU APENDWE NA MWANAMKE MWENZAKE??.
Ninani wakumpenda na Kumuoa huyu mwanamke"?? JIBU NI MOJA NI MWANAUME.
sasa leo niwambie KATIKA UKAMILIFU WA MWANAMKE, WEWE MWANAUME ni zaidi ya Elimu/Pesa/Mafanikio alonayo mwanamke.
NISIKILIZENI JAMAA, MWANAMKE ALIUMBWA KUJENGA FAMILIA, MWANAMKE ALILETWA DUNIANI KWETU SISI WANAUME KUENDELEZA KIZAZI ....kwa hivo bila kujalisha Elimu /Kazi yake, Siku zote kuna umri wa mwanamke akishaona hatongozwi, ataanza kuombea Apate Ndoa tu, akiona ndoa haipo, atatamani angalau apate mtoto,... Unamuona mwanamke akikosa mtu sahihi wa kumpa mtoto , atabaki anataman basi apatikane tu mwanaume azae naye ,apate mtoto, alee mtoto wake yaaan Pesa zake azitumie sasa vizuri.
( NIMEANZA KUYASEMA HAYO, ILI WEWE MWANAUME UONE NAFASI YAKO KATIKA ULIMWENGU WA MWANAMKE)
Aaahh sikilizeni, namaanisha hivi hata kama ana Pesa, ana elimu ana mafanikio na na akapata watoto, lkn hana mume, BADO BADO BADO ATATEGEMEA KUA NA MTU " WAKUWEKANA NAYE SAWA"...huyu. mtu anaweza asiwepo masaa 24, ila kwakua yupo, anajua fika kwamba ,siku nikiwa na muwasho nitakwenda kwa CARLOS.
SHIDA INAANZA IVI ?
je wasiwe na wapenzi?? Je wapendwe na Watu weenye vipato zaidi yao?
Enyi wanaume, nawaambieni, MAPENZI NI HISIA , mapenzi hayapo katika Elimu, wala pesa.
Ndioo kuna wakati unamkuta mwanamke ana masters ya kitu fulan, ivo basi utasikia anakuambia, Nataka mwanaume mwenye Elimu fulani ,au mwenye uwezo fulani wa kiuchumi. .... LAKINI huyu huyu mwanamke, kuna wakati unafika anasema "Mungu niletee tu Mume mwema"....
Kwann hakutaka kuendelea na VIGEZO VYAKE ?? kwa sababu WAKATI WA KUA NA MWANAUME WAKE UMEFIKA ,HANA HANA CHAGUZI LINGINE NA HIVO BASI ANALAZIMIKA YEYE KUFANYA FIRST MOVE .
Rafiki yangu mmoja wa kike anamiaka karibu 36 , siku moja akaniambia "CAELOS nina kazi yangu ,nina pesa yangu, ila kazini siheshimiki, naonekana mdangaji, mabinti wadogo kazin wameolewa Lakini mimi bado, jambo hili linaniumiza sana sana nahata kazini siheshimiki..
Kwanini Anaumia ? KWA SABABU KUITWA KWA JINA LA MUME WAKE, NI JAMBO LINALOMUHESHIMISHA MWANAMKE KATIKA JAMII.
hamna cha U-FEMINISTS wala cha bibi yake , Ukweli nikwamba, HATA HAWA WANAOJIITA LEO MAFEMINISTS , WANA WATOTO KADHAAA, KISHA KWA SABABU TUSIZOZIJUA, WAKAACHIKA NDOANI...... Sasa anaamua kujisimamia mwenyewe sababu anajiweza, LKN NAWAAMBIENI, MCHANA NI MAFEMINISTS, USIKU KUNA WANAUME WANAWAKAZA VIZURI TU
( Nimelichomekea hilo kuona NAFASI YAKO WEWE MWANAUME KTK ULIMWENGU WA MWANAMKE)
TURUDI KWENYE MADA YETU SASA !!
Ndugu zangu, Sio dhambi kua na mwanamke mwenye kipato, au elimu kubwa....
HOFU yetu sisi ni juu ya kudhaurilika, kwamba mwanamke akishakuzidi elimu ,au kipato basi atakudharau, hatokuheshimu n.k
lakini kwann ayafanye hayo? Je wee sio mumewe tena? , je anataka sasa atafute Mume mwingine wa juu yake zaidi???. HAPANA.
Je huenda ni TABIA yake halisi sasa anaifichua kwamba huko nyuma alijifanya kondoo ila hakua anayekufaa?? JIBU NI NDIO , na mwanamke huyu sio mtu sahihi kwako. ( ACHANA NAYE KABLA HAJAUVUA UTU WAKO.).
Tatizo kubwa liko wapi? Ni pesa zake ? Elimu? Tabia ??....
TATIZO KUBWA NI SISI WANAUME
kuathirika na Imani yakwamba mke akifanikiwa, anabadilika, ivo mkeo anapofanikiwa, mwanaume unaanza kujinyenyekeza nakujipendekeza kwa mkeo, hata unajikuta ule wajibu wa kiume umeuacha , NA HIVO MKEO ANABADILIKA KUTOKANA NA MAZOEA MAPYA ULOAMUA KUMPA ...... Ulikua ukihoji sasa umeacha, ulikua ukikasirika na anajua sasa umeacha, ulikua akizengua unampa makofi sasa unaacha, ulikua unafokea sasa unaacha.....kirahisi tu, unaacha sababu Amefanikiwa kwahiyo unaogipa kuachwa, ivo hata afanye nn ,wee ni sawa tu
ilo la juuu, linakufanya upoteze DOMINANCE, LEADERSHIP, AUTHORITY JUU YA MKEO ...na ninawaaambia, Mwanamke hata aweje, kama utapoteza vitu hivi vitatu, nibora tu umwambie ongeza MUME WA PILI MKE WANGU.
NINI KIFANYIKE??
kama mwanaume, vijana
JIPE THAMANI
,Wewe ni kichwa cha familia na familia yako LAZIMA UILISHE KWA JASHO ,hivo basi pambana kwa kadiri ya uwezo wako na kwa kadiri ambavyo MUNGU AMEKUBARIKIA.
HAKIKISHA , TAFADHALI ,HAKIKISHA YAAN HAKIKISHA UNAKUA MAMLAKA, MTAWALA NA KIONGOZI KATIKA DUNIA YA MKEO BILA KUJALISHA KAFANIKIWA.
HAKIKISHA ANAJUA KUA UNAMPENDA NA UNAMJALI SAWA NA KIPATO CHAKO ILA BADO AKILETA UJINGA MBALI NA PESA ZAKE, UPO TAYARI KUMWACHA NA KUOA MWANAMKE MWENGINE, NAKUMUACHA YEYE AMBAPO NAYE BADO ATAENDA TUUU KUTAFUTA MWANAUME MWENGINE KWASABABH HAWEZI ISHI BILA MWANAUME.
KATIKA YOTE HAYO, TIMIZA WAJIBU WAKO KAMA BABA NAKAMA MUME
USISHOBOKEE PESA YAKE , WALA KUHOJI WALA NINI, INAPOBIDI MKONO WAKE MSHIRIKISHE, NA UMSHIRIKISHE KAMA MUME NASIO KINYONGEE NYONGEE
WATIENI , WATIE, WAPELEKEENI MOTO, SUGUAA, PIGAAA PIGAAAA,PIGA MPAKA AJIONE ANAISHI KWA SABABU YA KITOMBO UNACHOMPA NASIO MAFANIKIO YAKE...( atakua anakuita mwenyewe Baba ,pesa hii hapa).
Mwanamke ni mwanamke ,awe mjeshi. Awe CEO ,awe wa elimu gan, aweje, maadam alikukubalia ulipomtongoza, BASI JUA TU SHE IS JUST A WOMAN , ni mtoto tu mdogo anayehitaji malezi ya Baba yake WAKATI HUOHUO HATAKI AWE KAMA MAMA YAKO.
Mtaishi nao vizuri !!
Ila ndo mkiendekeza ubebi bebi bebi bebi ,bebi ,aaahhhh atakushinda tu alafu utarudi na uzi humu ukilia " Kabadilika baada ya kupata Pesa, KUUUUUMBE, KIRUSI NI WEWE MWENYEWE, ULIYEAMUA KUSAHAU MISINGI YA UANAUME WAKO.
MWISHO
Kuanza Upya sio ujinga, USIWE MZITO KUMUACHA MWANAMKE , WANAWAKE NI WENGI NA WAMEJAA, YES KABADILIKA KWA UZEMBE WAKO, BASI CHUKUA HATA HATUA YA KUACHANA NAYE MARA MOJA, KULIKO KUACHA UTU WAKO UCHEZEWE.
Maneno yangu sio sheria.